Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,705
Amesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake.
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu