Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi?? Uzi tayari.
12 Reactions
190 Replies
30K Views
Saivi kama umekuja kuona wasanii wa bongo wanapenda kukaaa sana midomoni mwa watu kuliko kazi zao. Yaani wanafanya mambo wazungumziwe wao na sio kazi zao. Japo kuna namna inawasaidia ila kuna...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Harmonize na konde gang wamteua mkuu wa mkoa wa Dar Mh Abubakar Kunenge kama mlezi wao. Wanapitia njia ile ile aliyopita bwana domo. Sio mbaya lakini.
4 Reactions
25 Replies
5K Views
Amani iwe kwenu waungwana Ndugu zanguni swali langu kama bandiko linavyojieleza ni kuhusu dada yetu,kipenzi chetu mbunge machachari mh halima mdee mbunge wa kawe Je ana mume kama hana mume kuna...
7 Reactions
71 Replies
23K Views
Mimi nahisi Ali kiba alisema Bro naomba uni manage na mimi,hii management yangu inazingua Sallam atakuwa alijibu pouwa ngoja nijipange
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Msanii wa kimataifa kutoka nchini Tanzania Diamond platnumz amepata dili kutoka shirika kubwa la ndege la Turkish airlines kuwa Kama main sponsor wa show yake ya European tour atayoifanya hivi...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Diamond platnumz ameendelea kujiwekea record mpya katika kiwanda cha music africa baada ya nyimbo yake mpya aliowashirikisha Psquare kupata views laki 3 na zaidi ndani ya masaa 19 tangu itoke...
6 Reactions
106 Replies
23K Views
Mwaka 2017 umeendelea kuwa mzuri kwa nyota wa Tanzania Diamond platnumz. Kupita account take mpya ya VEVO yenye subscribe 14,370 Diamond amekuwa msanii wa kwanza kutoka Africa wimbo wake kufikisha...
7 Reactions
60 Replies
12K Views
Wadau, Leo ni siku maalumu sana kwetu sote. Ni siku aliyozaliwa Kada mahiri na mzalendo wa CCM Mhesh Humphrey Polepole. Tuungane wote bila kujali itikadi zetu kumtakia kila la kheri. Happy...
5 Reactions
55 Replies
29K Views
Hiv karibuni tuliona Dkt. Magufuli akitoa kofia yake na kumpa Diamond huko Mwanza. Baada ya kupita siku kadhaa tukaona pia akatoa kofia yake akampa Harmonize. Leo hii nimeona Alikiba anaperform...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Jana nimengalia show ya Zuchu na nina maoni yafuatayo: Kwanza, nashauri 'stage show' wake wanapaswa kuwa wanaume kwa sababu aina ya nyimbo zake. Nyimbo za Zuchu ni za mapenzi na iteleta maana...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Inakuwaje wanaJF Kijana huyu Mwingereza Tim Burton mwenye umri wa miaka 33 alizaliwa tarehe 17/09/1987. Anajulikana kwa jina la utani kama Shmee150. Ni car blogger, entrepreneur na youtuber...
5 Reactions
75 Replies
10K Views
Wadau wa Burudani nianze kwa kuwasalimu Igweee...! Thread title is clear.. Sasa nisiwachoshe... Tushee maujuzi.. Je! Ni kwanini imeshindikana kumtoa Diamond katika maintsream... Yani ni yeye...
24 Reactions
138 Replies
14K Views
Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza Sana kijana mwenzangu, mwanamziki KAYUMBA kwa kazi nzuri unayoifanya. Napenda Sana kazi zake. Na hii ngom mpya ya CHUNGA umetulia Sana kuanzia MAUDHUI...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau inapendeza kuwa pamoja kwa umoja. Napenda kutoa pongezi kubwa sana kwa waumini wa WCM. Natoa pongezi kubwa pia kwa Naseeb Abdul a.k.a Diamond au Dangote. Diamond ametengeneza nembo ambayo...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Kupitia harusi ya Kiba Azam tv nimegundua mambo kadhaa kuhusu wanawake wa mombasa.... 1. Ni wanawake wanaopenda kujisitiri maungo yao yani wanajua thamani ya miili yao...ushuhuda angalia...
18 Reactions
157 Replies
29K Views
Mkurugenzi wa CMG Joseph Kusaga amesema yeye siyo mmiliki wala mwanzilishi wa Wasafi media. Amezungumza hayo leo akihojiwa na XXL. Kauli hiyo imekuja kutokana na pongezi ya Adam Mchomvu nanukuu...
18 Reactions
103 Replies
16K Views
Diamond Platnumz Talks Growing Up In Tanzania & Breaking Into American Popular Music Facebook Twitter Email The recording artist, entrepreneur and media mogul discusses Tanzania’s musical...
3 Reactions
22 Replies
5K Views
Salam wakuu Nimepata nafasi ya kusikiliza Wasafi FM kwa siku kama mbili sasa baada ya kuwashwa kwenye mkoa niliopo, na nimeweza kusikiliza vipindi vya asubuhi kabisa(goodmorning) na cha...
22 Reactions
54 Replies
7K Views
Mjasiriamali na mwanamitindo maarufu, ambaye pia ni mjane wa aliyekua mfanyabiashara maarufu , the late Reginald mengi , Kupitia ukurasa wake wa Instagram , ame share video inayoonyesha mafuriko...
4 Reactions
153 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…