Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 katika Achievers Awards International zilizofanyika nchini Nigeria, kutokana na...
3 Reactions
6 Replies
450 Views
Kwenye ulimwengu huu ambao kila mtu anasaka pesa ili aweze kuishi maisha mazuri na ya kifahari, hio ni tofauti kwa familia ya marehemu bilionea maarufu kule Zimbabwe aitwae Ginimbi. Kama...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
DANSA anayetikisa kupitia wimbo wa Mbosso Khan “Aviola”, Queen Fraison, amefunguka kuhusu kazi yake ya unenguaji ambayo kwa sasa ndiyo inampa zaidi kipato. Queen Fraison amesema, hapendi kucheza...
4 Reactions
12 Replies
828 Views
Dogo anasumbua sana instagram kwa nyodo nyingi sana kwamba yeye hakuna wa kumfikia bongo kwa jeuri ya hela. kwa anayemjua vizuri huyu billionea atujulishe na sisi ili tu jifunze kutoka kwake jinsi...
3 Reactions
228 Replies
56K Views
Habari wakuu Tangu nimeanza kuona picha za kuchora na za kuchonga za Hayati Mwenyeheri, Nyerere, haijawahi tokea siku wakamchora sahihi. Au wakamchonga sahihi. Kwamba hii nchi inashindwa kuipa...
6 Reactions
12 Replies
530 Views
Hivi wakuu kuna msanii anaemzidi Harmonize yaani Kila nikiangalia hata wale wa zamani naona hamna kitu Sidhani ata kutakuja kutokea kama huyu mwamba Konde Boy. Bongofleva haimdai hata akifa leo...
8 Reactions
102 Replies
4K Views
Katika mahaojiano ya mwanamuzi wa HipHop Chid Benz amemeonyesha hali ya kumkumbuka na kumkubali mwanamuziki mwenzake wa zamani Saida Karoli na kuwaomba Ayo tv wmtafute na kufanya nae mahojiano...
3 Reactions
6 Replies
545 Views
Zimetokea bifu maarufu sana za mastaa hapa nchini na zikajizolea umaarufu 1. Ruge na Sugu Hii ilikuwa bonge la bifu. Baada ya Sugu kumtolea mbovu Rugs na unyanyaji wake wa fiesta 2 TMK halisi...
8 Reactions
103 Replies
4K Views
Mpiga picha namba moja wa wasanii nchini Tanzania ambae pia ana ushawishi mkubwa sana Instagram, Ashraf Lukamba ametuma ujumbe wa kumlilia Polepole. Lukamba mwenye followers zaidi ya million...
13 Reactions
49 Replies
1K Views
"Wasanii mmeshuka sana aisee yaani hata wale ambao walikua wana heshima kidogo na nyie mmegeuka machawa but why ? Jamani njaa ya miezi michache isitoe heshima yako ya miaka yote" — Faiza Ally
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Mwigizaji Jacqueline Wolper ameeleza kuwa ameumizwa sana na jambo lililotokea jana Septemba 15, 2025 kati ya wanachama wa Chadema na polisi katika viunga vya mahakamani, kwenye kesi ya Tundu Lissu...
7 Reactions
15 Replies
867 Views
Huyu mwanadada Jennifer Jovin(Niffer) ambaye kwa sasa ndio mwanamke mwenye IQ kubwa ya upambanaji ukilinganisha na vijana wenzie kama Zuhura wa Mondi, atahakikisha anawainua vijana wenzake...
18 Reactions
77 Replies
3K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Rashidi Makwiro ‘Chid Benz’ alipozungumza na Clouds TV, jana Septemba 3, 2025 amefafanua aina ya madawa ya kulevya ambayo yanatumiwa na watu wengi, akichambua pia tofauti ya...
8 Reactions
59 Replies
4K Views
Mimi ni mpenzi wa Rap, ndio mziki unaosuuza moyo wangu sana kuliko miziki yeyote ya kidunia. Nilikuwa kila nikisikia habari za Chid Benz na Jose Mtambo nasikitika sana. Sababu hawa ndio watu...
0 Reactions
3 Replies
197 Views
Huo ndiyo ukweli huwezi kuwa na njaa ukapata ujasiri wa kuimiliki simu na kuilisha wakati wewe huna chakula. Bigup King Kong ujumbe umefika!!
0 Reactions
2 Replies
257 Views
Pumzika kwa amani mwanangu, Kapteeeeeeeeeeeni G Habash https://www.jamiiforums.com/threads/gardner-g-habash-mtangazaji-wa-clouds-media-afariki-dunia.2205794/
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Sean “Diddy” Combs ameandika barua kwa Jaji Arun Subramanian akimuomba huruma kabla ya hukumu yake kusomwa leo Ijumaa, Oktoba 3, 2025. Msanii huyo alipatikana na hatia mwezi Julai kwa makosa...
2 Reactions
6 Replies
490 Views
Star wa muziki, Diamond Platnumz, ameamua kutumia siku yake ya kuzaliwa kutoa msaada wa kiasi cha TSh 37 milioni kwa Producer Bakteria, ambaye kwa sasa anapitia changamoto za kiafya baada ya...
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Dani Alves alihukumiwa kwa kosa la KUBAKA (RAPE). Kapoteza zaidi ya siku 800 jela Mke alimkimbia Kapoteza deals za udhamini na endorsement kapoteza heshima yake alipoteza kazi yake Mwanamke...
11 Reactions
43 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…