Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

  • Featured
Wakati wa maonesho ya FIFA Countdown Concert yaliyofanyika jijini Los Angeles, msanii maarufu wa Nigeria Davido alivutia hisia za wengi baada ya kuvaa koti maalum lenye ujumbe "Bring Them Home" na...
17 Reactions
45 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ndani Kuna mpaka maji ya kandoro anapewa mke wa tajiri anywe, hahaaaaaa ila hii dunia hii Sasa hapo mgerasi kama MIN-me akiiitazama...
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Fikiria MC Pilipili anauwawa kama kuku mchana peupe. Mlinyamaza Gen Z wakiuawa sasa ona yanayoendelea. Tukemee Uovu, tupone.
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes. Huu...
162 Reactions
2K Replies
241K Views
Jana Hassan Mwakinyo Ilibaki kidogo wamuue ulingoni. Akakimbia round ya tisa. Kuna mwamba anaitwa Michel Soro uko kamdunda hatari . Next time wawe wanafungana miguu kama hivi mtu asikimbie kimbir...
9 Reactions
13 Replies
424 Views
Hatimaye mwenyezi Mungu ameamua kujidhihirisha wazi kupitia kwa aliyekuwa beautiful onyinye miaka ya nyuma na mrembo aliyependwa sana na watanzania. Wema Isack Sepetu wakati wa huko nyuma aliwahi...
34 Reactions
171 Replies
4K Views
I salute you kinsmen. Mimi sio kijana wa zamani kwamba najua nyimbo za zamani hasa hizo rhumba sijui zouk ila nikiri nilizipenda nyimbo hizi kutoka kwa mzee wangu ambaye alikuwa anazipenda sana...
10 Reactions
106 Replies
4K Views
Tasnia ya sanaa ya maigizo nchini Tanzania imegubikwa na simanzi kufuatia taarifa za kifo cha muigizaji Mkongwe Issa Joseph maarufu Mzee Onyango. Mzee Onyango alikuwa miongoni mwa wasanii...
9 Reactions
55 Replies
2K Views
Siku chache zilizopita kulitokea misiba miwili ,Spark na Hashim Kambi lakini cha kusikitisha zaidi wasanii/watu maarufu waliojitokeza kuzika ni wachache mno locha ya ukongwe wao. Pia Juma Nature...
10 Reactions
56 Replies
1K Views
Ilikua ni siku tulivu, ambapo watu walikua wakisherekea, happy birthday ya wema sepetu, ULIPO fika muda wa wasaa wa mzazi, mama wema alieshika, kipaza sauti, nakubadili furaha ya wema kuwa...
3 Reactions
8 Replies
393 Views
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani. Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya...
34 Reactions
856 Replies
144K Views
Deadline day shoking transfer Naam wakati people wapo bize kufatilia siku ya mwisho ya usajili wa majira ya baridi kwenye soka mara inaibuka taarifa bingwa mara 7 wa mashindano ya mbio za magari...
3 Reactions
78 Replies
2K Views
Kumekuwa na Inshu Moja critical ambayo inatrend Sana, Msanii wema amefanikiwa kupata mtoto Kwa mara ya Kwanza hongera kwake na Kwa mume wake. Wema Sepetu amekuwa na shida kubwa ya kupata...
5 Reactions
30 Replies
706 Views
Baadhi ya blogs za Brazil zimedai kama Andrey Countinho wa Dar young african angeitwa national team hakika ile adhabu ya jana wasingeipata. Lawama zilimuendea zaidi Maximo kwa kulileta kinda hilo...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Ile nyimbo ya shilole na jlo au kama mwenyewe anavyomuita jeniffer ropez, ni nooma mr maatope nakuletea exlusive nyuzi maana nimebahatika kuisikiliza, nyoka wote watakaa ni soooooo stay tuned...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Habari zilizotapakaa magomeni ni kwamba mtangazaji mmoja wa clouds fm na clouds tv alikuwepo siku ile zungu la unga chonji lilipovamiwa na polisi. Inasemekana na yeye alikuwa anapaki mzigo ila...
3 Reactions
82 Replies
20K Views
Anayebisha abishe tu lakini hakuna MTZ maarufu nchini Belgium kama shishi baby au shilole ambako aliangusha show kali iliyohudhuriwa na watu 28,000 jijini Antwerp kiasi kwamba haters wa huku Bongo...
0 Reactions
45 Replies
11K Views
Mwaka jana nilikuletea exclusive ya wachezaji watatu wa team ya Stuttgart ya Germany waliosimamishwa kwa kosa la kutoroka hotelini kuhudhuria show ya Diamond lakini ya leo ndio kali na kubwa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
sikiliza mwenyewe,usipolia wewe una roho ngumu
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Kingwendu: Ningepewa airtime ningekuwa level moja na Diamond na Alikiba Mchekeshaji maarufu nchini, Kingwendu amesema kama nyimbo zake zingepata promotion ya kutosha, angekuwa anashindana na...
4 Reactions
18 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…