Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huu ni ujumbe wa KISIASA alioutoa Diamond Platnumz Kwa Watanzania akiwaasa waache Lawama na wafanye kazi. Kwani Kila Awamu wanailalamikia serikali. ----------------------------
16 Reactions
396 Replies
23K Views
Baada ya kimya cha mwezi wasanii wameanza kutesti mitambo Gen Z wamekubali yaishe Video ya Marioo yazoa views Milioni 1
0 Reactions
27 Replies
689 Views
Kichwa cha habari kiko wazi. Tofauti ya wasanii wa kisiasa na kisanaa ni namna wanavyopatikana. Wanaweza kufanya lolote hata kujidhalilisha au kuwadhalilisha, kujidhulumu au kuwadhulumu...
3 Reactions
5 Replies
155 Views
Moja wa influencers maarufu nchini Tanzania anayejulikana kwa jina la Mwemba Burton a.k.a Mwijaku au Jaku Boy amejikuta katika njia panda baada ya kuchwa mke wake Alice ambaye walibahatika kupata...
7 Reactions
82 Replies
2K Views
Msanii wa hip hop Emmanuel Elibariki Munisi, maarufu kama Nay wa Mitego, ameachia wimbo wake mpya unaoitwa “Tupo Bize”. Wimbo huo umeelezwa kuwa ni ujumbe maalum kwa wasanii wa Bongo Fleva...
4 Reactions
6 Replies
443 Views
Katika Hali isio ya kawaida dada kaingia insta na kuanza kutia huruma eti huyo jamaa alie matapeli sababu, hamtaki kimahusiano ndo chanzo jamaa kumtapeli kibabe. Wadau wahoji insta ndo mahakama...
6 Reactions
84 Replies
2K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Beka Flavor, ametoa ujumbe wa shukrani kwa Mwenyezi Mungu akisema uhai ni kwa mapenzi na rehema zake, si kwa ujanja wa binadamu. Katika ujumbe huo, amewaomba Watanzania...
2 Reactions
20 Replies
480 Views
Orodha ya watu maarufu ambao ni kama hawana wenza. Yaani ni kama wanaaishi wenyewe tu hakuna mume/mke. Naanza na Madam Rita. Endelea…
4 Reactions
32 Replies
962 Views
Hebu shuhudieni hiki kituko
1 Reactions
4 Replies
228 Views
Yeap natamani huyu jamaa siku moja asimamishe shughuli zote za jiji la New York na watu waelekee kwenye show yake ya muziki ndani ya ukumbi wa Madison Square garden kwenye viunga vya Downtown...
3 Reactions
26 Replies
338 Views
Nollywood actress Doris Ogala opens up in a shocking video, accusing Chris Okafor of sharing private content and causing personal tragedy, sparking massive online buzz. Nollywood actress Doris...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
"Jana usiku alisimamisha show yake kuwaambia watu waiombee Tanzania sababu ya mauaji yaliyotokea. Meanwhile wasanii wa Tanzania wanapambana kuirudisha nchi kwenye hali ya hali ya kawaida ili...
6 Reactions
9 Replies
607 Views
Asilimia 2 TU watanzania ndo hawakumpigia kura mama yenu . Hizo asilimia 98 walimpa mama na nyie watawapa pia Mmezoea kulalamika Kila awamu Kwa sababu ya uvivu na ulegevu Pengine mkubali ule...
1 Reactions
2 Replies
100 Views
Wakuu kabla ya kuwahukumu hawa viumbe tujikumbushe kuwa wasanii ni watu wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii kuliko hata wanasiasa walio wengi. Kwa mfano Diamond peke yake ana ushawishi mkubwa...
2 Reactions
15 Replies
299 Views
Ni hivi wakati wa kampeni mliowengi kama 95% mlichagua upande wa kisiasa na mkatoa maneno ya kubeza kwa wapinZani mkasema chama chenu kina watu wengi na kina nguvu wapinzan n wachache sasa...
5 Reactions
8 Replies
442 Views
Kheri Konde ameelewa kwa namna yake kwamba muda huu si wakulaumiana tena, yote haya yanatokea ni kwasababu watanzania wanamaumivu yalitokea Oktoba 29. ================== Harmonize ameongea na...
9 Reactions
65 Replies
2K Views
Lana Rhoades, aliyewahi kuwa nyota wa filamu za watu wazima (porn); anasema kuwa alipokuwa na umri wa miaka 19, akiwa maskini na dhaifu, alidanganywa (groomed) na kumfanya kuingia kwenye tasnia...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Msanii wa maigizo Jimmy Mafufu amesema ushiriki wa wasanii katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu haukuwa kosa, akibainisha kuwa walitumia haki yao ya kikatiba, hivyo hawana sababu yoyote ya...
2 Reactions
24 Replies
693 Views
Laisa aliyeimbwa na TID amefariki dunia. Mungu amlaze pema mtoto wa kinondoni. Depression is real https://youtu.be/mcQ-1N0FuTo?si=ZGVOs6j6I8h5TM_B
2 Reactions
9 Replies
488 Views
Ila Harmonize hapana huyu ntu kutoka Ntwaraaa, sijuwi anatumia cha wapi? ============= Anasema sisi ndio tumemfanya aweke grills kwa meno, sisi ndio tumemfanye ajichore matattoo mwili mzima🤣🤣🤣 cha...
3 Reactions
13 Replies
566 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…