Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro...
77 Reactions
150 Replies
25K Views
Albert Mangwair Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina...
105 Reactions
323 Replies
29K Views
Msanii wa Kenya Eric Omond ni zaidi ya WASANII wote wa hapa bongo. OMONDI amejawa na weledi na kujiamini mno hivyo kutokuwa mpiga zumari. Ebu sikilizeni anavyo pinga msaada wa fedha unaotarajiwa...
9 Reactions
34 Replies
4K Views
Komasava ya diamond inazidi kumpa mashavu zaidi baada tu ya chriss brown kuucheza wimbo wake na kuwa gumzo duniani kutokana na ukubwa wa breezy. Jason derulo amekubali kufanya wimbo na diamond...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mnyonge mnyongeni jamani ila haki yake mpeni. Huyu bwana mdogo Diamond Platunumz amefanya mambo mengi makubwa makubwa sana hapa nchini kuliko hata viongozi wemye dhamana hiyo tena amemzidi hata...
1 Reactions
76 Replies
10K Views
Muigizaji na muimbaji Sabrina Omary (Sabby Angel) ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Bob Junior ,na aliwahi kuwa katika bifu zito na Zarina Hassan kisa Diamond . Sabby aliwahi kumtambia Zari kwamba...
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Mwanadada Jacqline Wolper ambaye aliwahi kudondoka dhambini na Diamond Platnumz miaka kadhaa iliyopita kabla hajaenda kusuguliwa vilivyo na mmakonde wa mtwara Harmonize kisha kutemwa vibaya na...
2 Reactions
22 Replies
10K Views
Hili suala la wimbo wa Diamond Platnumz kuchezwa na Chris Brown linadhihirisha ni kwa kiasi gani hii nchi ina maajabu ulimwenguni. Yani leo kila sehemu unayopita ni Chris Brown kampost Diamond...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18. Adai aliolewa akiwa mtoto na mume hana mchango kwenye mafanikio yake. Jamani na...
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Habari wakuu. Hivi Sam Misago yuko wapi? Toka alivondoka EATV hatujasikia wala kuona kuwa alikwenda kituo gani, pia hata Sammisago TV hatumuoni
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Eid al Adha mubarak wana JF Jamani mwenye ubuyu kamili wa Menina na anayedaiwa kuwa alikuwa mumewe wamezaa mtoto ana kama miezi miwili mitatu, atupashe[emoji33][emoji33] Nasikia bi dada ni...
6 Reactions
173 Replies
43K Views
Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake. 1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] "Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"-...
14 Reactions
147 Replies
12K Views
Habari njema kwa Team Nandy na habari mbaya kwa team Diamond Platinumz. Msanii Nandy ameendelea kushika namba moja kwenye Trend za Youtube licha ya staa Diamond platnumz kutoa video ya wimbo wake...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
1. Jokate Mwegelo - Washngton DC, Marekani mwaka 1987. 2. Haji Sunday Manara - Uholanzi, mwaka 1975. 3. Ruge Mutahaba ( R.I.P) Marekani, mwaka 1970. 4......... 5......... Twende kazi
7 Reactions
60 Replies
5K Views
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
30 Reactions
196 Replies
11K Views
Masaa kadhaa yaliyopita Kendrick Lamar ametoka kufanya show ya kibabe sana kwenye viunga vya Los Angeles California. Show hiyo ilipachikwa jina la POP OUT - KENNY AND FRIENDS CONCERT. Mastaa kibao...
1 Reactions
1 Replies
663 Views
Hivi hili group la BDP (Big Dog Pose) lilikuwa linajumuisha watu gani kwa maana ya majina yao na je wako wapi kwasasa? Nilikuwa na sikiliza Ngoma zao Kama Rudi, majobless na ile Walio...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Naam wakuu,nimejiuliza hili swali baada kufuatilia mwenendo wa ufanyaji kazi wa kituo Cha televisheni kinachomilikiwa na msanii diamond,hasa nikilinganisha na kiwango Cha usikivu wa kituo hicho...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwijaku ambaye ni miongoni mwa watia nia waliojitokeza kuomba ubunge kwa tiketi ya CCM, amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu kwa kusambaza picha za utupu kwenye mtandao wa Whatsapp...
41 Reactions
177 Replies
32K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…