Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Mwanadada Jacqline Wolper ambaye aliwahi kudondoka dhambini na Diamond Platnumz miaka kadhaa iliyopita kabla hajaenda kusuguliwa vilivyo na mmakonde wa mtwara Harmonize kisha kutemwa vibaya na kuokotwa na Brown ambaye naye pia amemtema , amedai kuwa kitu pekee kinachomsaidia kuvutia madanga ya kumkuna vilivyo na kumpatia pesa za matumizi ni pengo lake ambalo ametumia gharama kubwa kwenda kulitengeneza South Africa.
Ila huyu bi dada naye hana lolote, anajiita pengo danga na anang'ang'ana kutengeneza meno wakati huko chini kuna hali mbaya kila anayempata anamkimbia kutokana na harufu kali isiyovumilika .
Cc Wambeya mje tuumung'unye ubuyu wa kulalia.
Ila huyu bi dada naye hana lolote, anajiita pengo danga na anang'ang'ana kutengeneza meno wakati huko chini kuna hali mbaya kila anayempata anamkimbia kutokana na harufu kali isiyovumilika .
Cc Wambeya mje tuumung'unye ubuyu wa kulalia.