Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wadau nataka kujua hali ya huyu msanii maana ni siku nyingi amekuwa anaumwa na nilisikia Serikali ilimpeleka India kutibiwa.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
  • Closed
Mh,nasikiliza clouds apa millard yupo south hospital alipolazwa m to the p,nasikia ndugu zake wanapiga ung'eng'e millard na yes na no kila wakat mweh kumbe lugha imegoma.jamaa ni mmoja kati ya...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Report iliyo jaa kwenye blog mbalimbali za bongo hata jamii forums imegundulika kwamba ni fake yaani wamecopy na kupaste kutoka kwenye report ya doctor aliyo itoa baada ya msanii amy winehouse...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Msanii maarufu wa bongoflaviour Langa Kileo "Langa" ameyafananisha madawa haramu ya kulevya kuwa ni kama mwalimu mkuu kwani hukufundsha kila k2 ktk maisha.Langa ameyasema hayo ktk kipindi cha...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
nimemsikiliza millady mbona ni mangwea wanamzungumzia tu na wanadai mwili kuja ni vigumu kidogo kwa sababu huko south hakuna ndugu na kusafirisha maiti si chini ya milioni nne za kibongo
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Na Saleh Ally MGOGORO wa kimuziki kati yamsanii Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na kituo kimoja cha redio umezidikuchukua kasi huku makundi mawili, kila moja likitengeneza ngome yake nakuamini...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
wakuu,,,kwa waliobahatika kuusikia huo wimbo its realy an excellent song,,
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Halooo..ticket onyesho la jide zimeisha...wambea mkafie getini clouds
4 Reactions
45 Replies
5K Views
  • Closed
RAFIKI WA MANGWEA M to The P NAYE AFARIKI DUNIA -Pigo tena kwa muziki wa Bongo Fleva baada ya ripoti kusema, M To The P aliyekuwa na Mangwea jijini Johannesburg naye amefariki dunia. Taarifa...
0 Reactions
73 Replies
12K Views
BAADA ya kutumia dawa za kuondoa sumu ya madawa ya kulevya mwilini mwake, aliyekuwa Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Aisha Mbegu ‘Madinda’ amegeuka kuwa muhamasishaji kwa ‘mateja’ ambao bado...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
KUTOKA WAVUTI.COM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tune sasa hivi umsikie Lady Jaydee akitoa msimamo wake juu ya msiba wa mwanamziki mwenzake Mangwair. Hii inakuja baada ya Mwana FA kuahirisha shoo yake ya the Finest iliyokuwa ifanyike ijumaa...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
DIAMOND amefunguka kuwa yuko mbioni kushiriki move ambayo anatakiwa kucheza na Girlfrend wake wa zamani WEMA. anasema alipata tabu kidogo kukubaliana na wazo hilo ila baadae alikubali baada ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Acha ubishoo wa kujitangaza kwa bibi wa Dubai. Huwezi kujiita designer na fundi wa kushona wakati huna duka wala online shop nakushauri utulize ball na uwaone walio serious kama alika peter...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
An injected mixture of cocaine and heroin, known as “speedball” is a particularly dangerous combination, as the converse effects of the drugs actually complement each other, but may also...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nafasi nachukua,shairi kukuandikia, Albert Mangwea, uliyetangulia, Asili ya Songea,mzaliwa wa Mbeya, Mangwea tangulia! Nilianza kukusikiliza,ili kukuelewa, Mengi ukanifunza,hadi kunogewa, Kwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Siku itapofika Watanzania watakapoanza kununua filam za kibongo kwa sababu ya Producer flani ka-produce hiyo movie au Director flani ka-Direct hiyo Movie ndo Film zetu zitaweza kuchukua hata tuzo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
nIMEPATA TETESI KUWA MATONYA MEKAMATWA NA MADAWA YA KULVYA NCHINI cHINA, NI KWELI?
0 Reactions
84 Replies
17K Views
Hv ngwair na daz baba nani mkongwe kwenye game na album ya kwanza ya ngwair imetoka mwaka gani na album ya daz baba imetoka mwaka gani na nyimbo zao za kwanza zimetoka mwaka gani ??kama geto langu...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
hivi yuko wapi ibra da hustla wa nako 2 nako soldiers?, kakimya sana na mwenzake lord eyes
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…