Mh,nasikiliza clouds apa millard yupo south hospital alipolazwa m to the p,nasikia ndugu zake wanapiga ung'eng'e millard na yes na no kila wakat mweh kumbe lugha imegoma.jamaa ni mmoja kati ya...
Report iliyo jaa kwenye blog mbalimbali za bongo hata jamii forums imegundulika kwamba ni fake yaani wamecopy na kupaste kutoka kwenye report ya doctor aliyo itoa baada ya msanii amy winehouse...
Msanii maarufu wa bongoflaviour Langa Kileo "Langa" ameyafananisha madawa haramu ya kulevya kuwa ni kama mwalimu mkuu kwani hukufundsha kila k2 ktk maisha.Langa ameyasema hayo ktk kipindi cha...
nimemsikiliza millady mbona ni mangwea wanamzungumzia tu na wanadai mwili kuja ni vigumu kidogo kwa sababu huko south hakuna ndugu na kusafirisha maiti si chini ya milioni nne za kibongo
Na Saleh Ally
MGOGORO wa kimuziki kati yamsanii Judith Wambura Mbibo Lady Jaydee na kituo kimoja cha redio umezidikuchukua kasi huku makundi mawili, kila moja likitengeneza ngome yake nakuamini...
RAFIKI WA MANGWEA M to The P NAYE AFARIKI DUNIA
-Pigo tena kwa muziki wa Bongo Fleva baada ya ripoti kusema, M To The P aliyekuwa na Mangwea jijini Johannesburg naye amefariki dunia.
Taarifa...
BAADA ya kutumia dawa za kuondoa sumu ya madawa ya kulevya mwilini mwake, aliyekuwa Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Aisha Mbegu Madinda amegeuka kuwa muhamasishaji kwa mateja ambao bado...
Tune sasa hivi umsikie Lady Jaydee akitoa msimamo wake juu ya msiba wa mwanamziki mwenzake Mangwair.
Hii inakuja baada ya Mwana FA kuahirisha shoo yake ya the Finest iliyokuwa ifanyike ijumaa...
DIAMOND amefunguka kuwa yuko mbioni kushiriki move ambayo anatakiwa kucheza na Girlfrend wake wa zamani WEMA.
anasema alipata tabu kidogo kukubaliana na wazo hilo ila baadae alikubali baada ya...
Acha ubishoo wa kujitangaza kwa bibi wa Dubai.
Huwezi kujiita designer na fundi wa kushona wakati huna duka wala online shop
nakushauri utulize ball na uwaone walio serious kama alika peter...
An injected mixture of cocaine and
heroin, known as speedball is a
particularly dangerous
combination, as the converse
effects of the drugs actually
complement each other, but may
also...
Nafasi nachukua,shairi kukuandikia,
Albert Mangwea, uliyetangulia,
Asili ya Songea,mzaliwa wa Mbeya,
Mangwea tangulia!
Nilianza kukusikiliza,ili kukuelewa,
Mengi ukanifunza,hadi kunogewa,
Kwa...
Siku itapofika Watanzania watakapoanza kununua filam za kibongo kwa sababu ya Producer flani ka-produce hiyo movie au Director flani ka-Direct hiyo Movie ndo Film zetu zitaweza kuchukua hata tuzo...
Hv ngwair na daz baba nani mkongwe kwenye game na album ya kwanza ya ngwair imetoka mwaka gani na album ya daz baba imetoka mwaka gani na nyimbo zao za kwanza zimetoka mwaka gani ??kama geto langu...