Mbushuu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 2,172
- 3,392
Msanii maarufu wa bongoflaviour Langa Kileo "Langa" ameyafananisha madawa haramu ya kulevya kuwa ni kama mwalimu mkuu kwani hukufundsha kila k2 ktk maisha.Langa ameyasema hayo ktk kipindi cha njia panda kinachorushwa na clouds fm.Langa ameelezea mengi zikiwemo sababu zilizomfanya a2mie madawa hayo haramu ila kwa sasa amekiri kuwa ameacha kutumia.Naomba kuwasilisha