Hakuna msanii wa Bongo mgumu kumuintavyuu kama TID; Jamaa ana kila aina ya dharau + majivuno,sipatii picha angekuwa na hela au angeendelea kuwa na ile nyota yake ya kipindi kile enzi za ZEZE na...
Wana jamvi, nimevutiwa na aliyekuwa mh.waziri wa mambo ya ndani ya nchi, bwana Lawrence Masha ktk kipindi cha mkasi kilichorushwa jana na EATV. Pamoja na mambo mengine bwana Lawrence Masha alisema...
Nimetizama video ya wimbo love me , hizzo bisness akimshirikisha barnaba sina budi kusema , ulikuwa na haki ya kumuweka barnaba boy, kwa kweli katenda haki , daah no comments !!
kwa lugha rahisi kabisa mwanadada agnes masogange alipita na kilo 150 za madawa ambazo ni sawa na mifuko mitatu ya cement kwani mfuko mmoja una kilo 50 sasa sijui alibebaje
LOS ANGELES (Reuters) - R&B singer Chris Brown had his probation revoked on Monday by a judge in Los Angeles after he was charged in a hit-and-run traffic accident last month. Brown, who has been...
Hii ilikuwa kabla hajadakwa na mzigo alipost hivi kwenye mtandao
Picha aliyoipost Agnes Masogange katika mtandao wa Instagram kabla yeye na mwenzake hawajakamatwa na shehena ya madawa ya...
Kwa mujibu wa DjChoka kupitia ukurasa wake wa instagram ni kuwa mama yake msanii nguli Prof Jay amefariki usiku huu hospitali ya Tumbi baada ya ajali ya gari Mbezi Mwisho.
.I.P mama Joseph Haule.
Inaelekea President Obama kaacha upepo mzuri Tanzania manake taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita baada tu ya bondia Evander
kuthibitishwa na yeye kuja Tanzania, mtangazaji staa wa dunia...
Adai kwamba hana sababu ya yeye kutumia pesa nyingi kutendeneza video maana ahitaji kujipaka poda, lipstick, mkorogo na kadhalika
Mara nyingi anatumia laki 5 hadi 7 kuandaa video, kwanza soko la...
bandughu
nilikua nafuatlia kipindi cha take one jana ambapo ilikua ni mahojiano na Lulu, alipoulizwa kuhusu mafanikio yake akasema amefanikiwa kuwa na kampuni yake
my take
pamoja na kumpongeza...
KUPITIA taasisi yake ya kutoa misaada, nahodha wa Ivory Coast na gwiji wa Chelsea Didier Drogba atasaidia ujenzi wa kliniki tano za watoto na wanawake katika nchi yake. Tangazo hilo lilitolewa na...
Ni kitambo sasa sijamsikia, or rather hatujamsikia.
Allivuma sana enzi za Misa Tan na uhariri Gurdian
na jukwaa la wahariri, sasa hatumsikii tena. Kipindi
anasikika sana alikuwa na vyeo hapa na...
Heading for No1 ... Jay-Z
By GORDON SMART, Showbiz Editor
Published: 13 hrs ago
7
USUALLY its your parents who embarrass you with school photos but JAY-Z has the wife to thank for...
Saada Saada na SintahSaada na Kanumba
Jana msichana huyu aitwaye Saada alifikishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu kwa kosa la kutaka kusafirisha Madawa ya Kulevya kupitia Uwanja wa ndege wa...
Aisee huyu dada yuko poa sana,nilikuwa namuangalia juzi kati kwenye mkasi,dah anajielezea vizur sana yupo muwazi na maisha yake,hana majivuno kabisa,mrembo,kwa kweli nilitamani niendelee tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.