JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kama ilivyo kwa watu wengi, nimekuwa nikisikia hadithi na imani mbalimbali za mitaani kuhusu matumizi ya limau. Hivi karibuni, niliamua kunywa maji ya limau kwa wingi. Lengo langu halikuwa kufanya majaribio ya kitabibu, bali ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wangu tu wa kawaida. Huwa nimewahi kusikia kuwa ukitaka kusogeza siku zako ziende mbele unatakiwa kunywa juisi ya malimao. Nikajaribu baada ya kunywa hedhi ikakakta ghafla kwa siku kadhaa ikarudi tena na inasemekana pia kuwa ukinywa limau nyingi kabla ya hedhi kuanza, utapata siku chache sana (kwa mfano siku mbili badala ya tano). Je, huu ni ukweli wa kisayansi au ni sadfa (coincidence) tu?
kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS Rais WA Mpira Duniani GIANNI INFONTINO amezungumzia Kuhusu Hilo sakata la KOMBE kupokonywa kutoka kwa Senegal ..Hii Itakua ni ajabu ya Mpira WA Africa na Itakua ni aibu kwa wadau WA soccer Africa Mshindi huwa Anapatikana uwanjani na si vinginevyo CAF ijitasimini kwa Haya maamuzi Ikitokea hvyo Nitaomba waliohuska Wajiuzuru Ili wapishe watu wanapenda haki Sawa NA AMEENDA MBALI SANA KWAKUSEMA .. Maamuzi Hayo yafutwe kwakua mshindi NI Senegal na...
Kumekuwepo na machapisho kadhaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, yakimuonesha aliyekuwa mgombea wa urais nchini Uganda, Bobi Wine, akidaiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump. Hata hivyo, ukweli ni kwamba picha hizo zinazosambaa mitandaoni zimetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili unde, na si halisi. Licha ya kwamba mgombea huyo wa urais alikimbilia Marekani baada ya kuhofia usalama wa maisha yake kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu nchini Uganda, hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa amekutana na Donald Trump kwa mazungumzo rasmi. Ufuatiliaji uliofanywa kupitia tovuti rasmi za Ikulu ya Marekani haujaonesha taarifa yoyote kuhusu mkutano kati ya viongozi hao wawili. taarifa hizo za kukutana...
Back
Top Bottom