Ze komedi -vs- Futuhi

Naamini orijino komedi watabaki kuwa juu kwa muda mrefu sn,futuhi walichofanya ni kuiga...laiti wangekuja na kitu tofauti kdg wangeng'ara sana kwa sababu nao pia wana vipaji...lakini kwa sasa mimi binafsi huwa siiangalii kbs futuhi.
 
Naamini orijino komedi watabaki kuwa juu kwa muda mrefu sn,futuhi walichofanya ni kuiga...laiti wangekuja na kitu tofauti kdg wangeng'ara sana kwa sababu nao pia wana vipaji...lakini kwa sasa mimi binafsi huwa siiangalii kbs futuhi.

ni mtazamo tu mkuu
 
Ze komedi ni utoto zaidi na kukosa ubunifu. Nahisi nyuma ya pazia ya futuhi kuna wataalam wa mambo ya IEC na wanajua hata kujenga mikakati. Hivi Seki alisomea wapi hiyo au ni kipaji cah Nyota ensemble?
Tido wasaidie mawazo waende mafunzo mafupi kila baada ya muda maalum kwani wameanza kushona viraka kwa sababu kufua itachanika zaidi
 
hapo ndio unapokosea kwa kusema eti, futuhi wanaibua matatizo halisi, mimi nadhani inakupasa ujue kuwa katika hizi programm za commedy malengo sio kuelimisha jamii tu, lakini lengo kuu la hizi commedy ni kufurahisha jamii, kwa sababu kucheka ni afya, ebu mwangalie MR Bean, mimi sidhani kama kuna hata picha moja ya huyu comedian ambayo inafundihsa au hata kama ukiangalia zile comedy za mkongwe Charlie Champlin hakuna hata somo moja kwa jamii zaidi ya kuchekesha tu, na kama tukiingia katika fani ya kuchekesha na kubuni vituko vipya bac THE COMEDY wako juu, sasa wanakuja na ASHA NGEDELE hayo mambo si mchezo,
angalia usifulie

Mheshimiwa Pamoja sana!

 
wadau, hapa nani zaidi? kwa upande wangu nimekuwa nikiwatazama wote ila navutiwa na futuhi kwa mambo kadhaa. kwanza hawatumii lugha kali kama ze komedi, pili wanatumia wanawake katika nafasi za wanawake, tatu ni more creative, nne kuna rika tofauti, n.k. hayo ni yangu sijajua yako

Mkuu, jaribu kidogo kufanya research za Thread zilizopita kabla
ujaleta hapa kudadavuliwa.

Thread yenye issue kama hii ilishaletwa hapa!, So far it made us
MONOTONOUS!!!!
 
Mkuu, jaribu kidogo kufanya research za Thread zilizopita kabla
ujaleta hapa kudadavuliwa.

Thread yenye issue kama hii ilishaletwa hapa!, So far it made us
MONOTONOUS!!!!

ujue kuwa si kila wakati mtu unakaa kwenye kompyuta. pia ujue kuwa mada huko ni nyingi sasa kupitia moja moja inakuwa ishu. naomba niwekee hiyo link ya hiyo thread nione tusijeandikia mate
 
Non of the shows are that entertaining to be honest. The production level is poor, the scripts are poorly written if there is any at all and the acting is mediocre. Ze komedi think they have more talent then they are actually blessed with and futuhi can try to chose it's setting better. But I have to say compared to each other futuhi is better.

MwanaFa1,

Nilikuwa nakusoma na ulikuwa unakwenda vizuri tu na jurgement yako lakin hapo chini hujafanya "Natural justice!, Ze-comedy umesema wako 'talented' alafu Futuhi is 'better' kwa kigezo kipi? or are they more talented? Skills or the Most DULL compare to Ze-comedy?
Excuse!
 
ze komedi wamelewa sifa hivyo umaarufu wao utaendelea kushuka na kushuka....ila kwa sasa wako juu ya futuhi....
 
Najua ze komed mna/wana management ambayo seki yumo ndani. Kazi kuu ya hiyo management ni kuplan. Sasa imefika wakati ili mkitaka/wakitaka waendelee kukubalika waajiri wanawake ili wavae uhusika wao. Wakifuata ushauri huu wataendelea kuwepo ila wakipuuza they will die a common/natural death
 
Jana Ze Comedy (TBC 1) walifanyia shoo yao ofisini kwa Yusufu Manji. Yeye (Yusufu Manji) alitokea kama mtu asiye na hela ambaye amekuja kuomba msaada kwa tajiri la Kihaya (Mpoki)
 
katika moja ya onesho la ze komedi mikoani lililohudhuriwa pamoja na mkuu wa mkoa, wazito wengine, mababa, mabibi, wanafunzi, watoto, na masela: masanja alijitambulisha kama "boloyang" alihamasisha watu wote waseme "boloyang" kwa kutenganisha maneno-"booooo-loooo....." wakifika hapo tu anawastopisha na kuwaambia warudie "boooo-looo....." nilikaa meza ya mgeni rasmi, hakuna aliyecheka.....mgeni rasmi akajifanya anasoma sms!!!!! anayekubaliana kuwa hiyo ndy comedy ndiyo wale wale wanaokaa sebuleni na mke, mama mkwe na watoto wakiangalia ze comedy huku wakishangilia na kusifu kwa maneno.. "k***mae"!

kweli ze comedy wako juu!
 
Hapa kuna ukweli watu wanaogopa kuusema na wakikaa kimya ubishi huu utaendelea milele, ngoja ni break the ice kwa kusema futuhi ni kundi la washamba flani wa huko mwanza sijui, na hao wanaowafagilia ni watu wa aina yao, hwana wanalolifanya jipya ila kuiga ya orijino komedi ila wanayafanya kishambashamba, sasa hao wanaowafagilia ni washamba wenzao on the contrary orijino komedi ni watoto wa mjini wanajua mambo yetu watu wa mjini na wana exposure ya mashow ya tv kuliko unavyoweza kuwaza, hivyo mashabiki wao ni wajanja wa town na watu wanaojua kinachotokea mjini, kwa mshamba anaweza kujichekesha tu akiangalia komedi ilimradi naye aonekane lakini ki ukweli huwa hawajui lolote msiwalaumu kusema komedi hawachekeshi ila ni ushamba wao hawajui mambo ya mjini.Kingine ni ile roho ya korosho na chuki zisizo kuwa za maana za kibongo, utawasikia siku hizi wanaringa wanaendesha magari sasa hapo uhusiano upo wapi, halafu mijitu mingine ikisikia mtu katoka hata kidogo inaanza chuki, wewe ngoja na hao washamba wenzao sijui futuhi wapate tajili wa pamba awatoe utaanza kuwasikia wanaponda aaaah siku hizi futuhi wamelewa sifa kumbe ni donge na roho zao mbaya..kama vp komedi ipotezeeni tu muangalie komedi zenu za huko meatu sijui wapi aaaaaaagh..kwanza hilo jina lenyewe linatia kichefuchefu.
 
Hapa kuna ukweli watu wanaogopa kuusema na wakikaa kimya ubishi huu utaendelea milele, ngoja ni break the ice kwa kusema futuhi ni kundi la washamba flani wa huko mwanza sijui, na hao wanaowafagilia ni watu wa aina yao, hwana wanalolifanya jipya ila kuiga ya orijino komedi ila wanayafanya kishambashamba, sasa hao wanaowafagilia ni washamba wenzao on the contrary orijino komedi ni watoto wa mjini wanajua mambo yetu watu wa mjini na wana exposure ya mashow ya tv kuliko unavyoweza kuwaza, hivyo mashabiki wao ni wajanja wa town na watu wanaojua kinachotokea mjini, kwa mshamba anaweza kujichekesha tu akiangalia komedi ilimradi naye aonekane lakini ki ukweli huwa hawajui lolote msiwalaumu kusema komedi hawachekeshi ila ni ushamba wao hawajui mambo ya mjini.Kingine ni ile roho ya korosho na chuki zisizo kuwa za maana za kibongo, utawasikia siku hizi wanaringa wanaendesha magari sasa hapo uhusiano upo wapi, halafu mijitu mingine ikisikia mtu katoka hata kidogo inaanza chuki, wewe ngoja na hao washamba wenzao sijui futuhi wapate tajili wa pamba awatoe utaanza kuwasikia wanaponda aaaah siku hizi futuhi wamelewa sifa kumbe ni donge na roho zao mbaya..kama vp komedi ipotezeeni tu muangalie komedi zenu za huko meatu sijui wapi aaaaaaagh..kwanza hilo jina lenyewe linatia kichefuchefu.

kweli baba waambie ujue hawacheki sababau mambo ya mjini hawayajui,kiswahili chenyewe kwaom tabu tupu,sasa wapi na wapi,we wajerumani wakichekeshana hapa nawe utacheka?hao wanaowasifuia hilo jina baya kwanza ni hao wa bariadi pekee wanaowaangaliaga na kucheka!kama wao wanaume waje dar kufanya live show!!
 
Jana Ze Comedy (TBC 1) walifanyia shoo yao ofisini kwa Yusufu Manji. Yeye (Yusufu Manji) alitokea kama mtu asiye na hela ambaye amekuja kuomba msaada kwa tajiri la Kihaya (Mpoki)

,,,,,Na ilikua POUA kichizi,watu jamani vile ni VICHEKESHO tu,ka mnasababu nyingine tofauti haya na mseme tu,lakini wengine tuna furahi,wale sijui ndo FUTUHI walugaluga tu,mi hua hata siwaelewi sio siri,wanalazimisha tu,lakini wana copy toka kwa ZE,,,..na hili jina FUTUHII!!!,manake nini bathi,embu tujuzeni sie watu wa shamba huku inakua ngumu kidogo kulielewa.
 
katika moja ya onesho la ze komedi mikoani lililohudhuriwa pamoja na mkuu wa mkoa, wazito wengine, mababa, mabibi, wanafunzi, watoto, na masela: masanja alijitambulisha kama "boloyang" alihamasisha watu wote waseme "boloyang" kwa kutenganisha maneno-"booooo-loooo....." wakifika hapo tu anawastopisha na kuwaambia warudie "boooo-looo....." nilikaa meza ya mgeni rasmi, hakuna aliyecheka.....mgeni rasmi akajifanya anasoma sms!!!!! anayekubaliana kuwa hiyo ndy comedy ndiyo wale wale wanaokaa sebuleni na mke, mama mkwe na watoto wakiangalia ze comedy huku wakishangilia na kusifu kwa maneno.. "k***mae"!

kweli ze comedy wako juu!

,,,,,Hapo ni kweli hata mimi hua hicho KIPENGELE kina ni OFF,ushauri kidogo tu nadhani wataliondoa hilo
 
hawa ze komedi siku wana boa sana tana sana, kwanza tabia ya kuwaambia watu kwamba wamefulia sio nzuri, ipo siku na wao watafulia tu, hawatatamba milele, isitoshe hawaja invest!!
 
Hapa kuna ukweli watu wanaogopa kuusema na wakikaa kimya ubishi huu utaendelea milele, ngoja ni break the ice kwa kusema futuhi ni kundi la washamba flani wa huko mwanza sijui, na hao wanaowafagilia ni watu wa aina yao, hwana wanalolifanya jipya ila kuiga ya orijino komedi ila wanayafanya kishambashamba, sasa hao wanaowafagilia ni washamba wenzao on the contrary orijino komedi ni watoto wa mjini wanajua mambo yetu watu wa mjini na wana exposure ya mashow ya tv kuliko unavyoweza kuwaza, hivyo mashabiki wao ni wajanja wa town na watu wanaojua kinachotokea mjini, kwa mshamba anaweza kujichekesha tu akiangalia komedi ilimradi naye aonekane lakini ki ukweli huwa hawajui lolote msiwalaumu kusema komedi hawachekeshi ila ni ushamba wao hawajui mambo ya mjini.Kingine ni ile roho ya korosho na chuki zisizo kuwa za maana za kibongo, utawasikia siku hizi wanaringa wanaendesha magari sasa hapo uhusiano upo wapi, halafu mijitu mingine ikisikia mtu katoka hata kidogo inaanza chuki, wewe ngoja na hao washamba wenzao sijui futuhi wapate tajili wa pamba awatoe utaanza kuwasikia wanaponda aaaah siku hizi futuhi wamelewa sifa kumbe ni donge na roho zao mbaya..kama vp komedi ipotezeeni tu muangalie komedi zenu za huko meatu sijui wapi aaaaaaagh..kwanza hilo jina lenyewe linatia kichefuchefu.

Burn,

Kula 5! You said it all man!
 
Bwana RealTz77,

Nadhani ulipaswa elewa kwanza na ndio uchangie hoja zako usi pende kuiga alichokisema Mr. Burn, usipende kujaribu sema ati sijui hao futui wanatumia kiswahili gani nadhani Tz ni kubwa sana na kila mtanzania ana lafudhi yake tokana na mahali alipo toka ni lazima tu kiswahili kitakuwa tofauti kama wataka kuwakosoa futui ni bora ukawashauli kuwa jamani msiige vitu au jamani angalieni mambo mengine dunia ya kwanza nao waje na utunzi wao au utundu wao, sasa mr RealTz77 na Burn mnapo kubariana ati hawa ni wa mjini na hao sio wa mjini ivyo vigezo vimetokea wapi ati Dar ni mjini na mwanza sio mjini??? oky basi na hilo kundi la komedi nao wameiga toka dunia ya kwanza huko USA, EUROPE na kwingineko, hapo nadhani mlipaswa washauri hao Orjino komedi na futui wasiigane au kundi moja lisiigilize na waje na ugunduzi wao comedi ni comedi leongo ni kuwaburudisha watazamaji jamani lakini kuanza sema sijui msukuma anaongea kiswahili gani sijui huko ni ubaguzi sasa, mbona wa South Afrika wanalafudhi ya kishindo na kuvuta RRRRRRRRRRRR kwasana hamsemi??
 
and you next Level
i thought wafikiria kwa upana kumbe nawe ni yale yale?? huyo Burn akupe 5 ya wapi??

Where do you all come from jamani???? nimeisha sema muawakosoe hao Futui ilamsiingize lafudhi za watu huko, kwani hao orijino comedi wao wametokea wapi??? Jina la kikundi caho harisi ni lipi?? Orijino Komedi si imegeuzwa toka kwa English kuja kiswahili sasa si bora hao Futui ndilo jina lao sasa hapo nani kaiga jina au nani kashindwa tafsiri maana??au nao tuwaite kundi la vichekesho halisi?? washahulini hao Futui au O. komedi ktk utendaji wao wa kazi na sio mtake kujua huyu ni wa mjini sijui katoke shamba au lafudhi yake ya kihaya au kisukuma au m'konde huko tusifike si twataka burudani hapa. maana nanyi mwataka kuwa kama wale wanao act filamu zetu za bongo kwenda kuweka kikao kikubwa cha bila kichwa wala miguu au???
 
Back
Top Bottom