Ze komedi -vs- Futuhi

Komedy wamefulia haswa!

FUTUHI wako juu sana, vichekeksho vyao vinafurahisha lakini pia vinaibua matatizo halisi katika jamii! Mfano jana ile seen ya Mama kujifungua aliye bebwa na ambulance ya mkokoteni! Hiyo ilikuwa nzuri sana lakini ilibebea ujumbe mzito kwa utawala kwamba hali si shwari, maisha bora ni ndoto! Achilia mbali ile seen ya wamama wanao penda kujiuza ili hali wapo ndani ya ndoa kwa jili ya tamaa, kibwagizo ilikuwa ni ule mtafaruku, wa uteuzi wa mama kuwa mkuu wa Wilaya na jinsi cheo hicho kilivyo vuruga ndoa yao! Kimsingi haya mambo yapo katika jamii ndoa nyingi zimevurugwa kwa ajili ya vyeo vya namna hiyo ambavyo mama hujikuta kazi yuko kaskazini, baba akibaki kusini!

FUTUHI BABU KUBWA huwezi walinganisha na komedi wavaa sketi na blezia!

acha uongo wako hawa futuhi wnaiga tuu mambo hii mbona joti na mpoki wameionyesha longtime wewee!! semaulikuwa hujatoka kijijini kwenu usukumani kuja mjini ukaona tv, pole mwanangu. The comedy wapo juu, waniga ze comedy hamuoni tuu?au ndo ukanda ya ziwa na ukanda wa bahari umeanza?
 
mkuu futuhi ni kipindi cha vichekesho kinarushwa hewani na Star TV siku ya alhamisi kama jana saa tatu- nne usiku.
ni kipindi cha vichekesho kama kile cha ze komedi, actually kipindi hiki kilipata umaarufu kiasi wakati ule ze komedi walipokua wana mgogoro na EATV, yaani jamaa waliibukia juu ya mgongo wa ze komedi ama kweli kufa kufaana!.




wako juu lakini pumba nyingi!, mi wananiboa hasa pale wanapoigiza sehemu ya wanawake utakuta dume zima limevaa kike(sawa ni maigizo lakini kimaadili watoto wetu wataharibika bana)
icon10.gif

Acha bwana jamaa wana CURRENT ISSUES bwana sema wanaleta kwa style POA kama wanakubore JIFUNZE kuwazoea au usiwaangalie inawezekana nia yao ni kuwaopunguza watu kama wewe. bora ujumbe na nakumbuka enzi zile hata wanaume walikuwa wanapanda jukwaaani na kuimba nyimbo wakililia uke wenza lakini mpaka leo tunakubali nyimbo zao ni bora kuiliko za sasa!!!!

MMEFULIAAAAAA.........
 
nini futuhi bana!MAMBO IKO KOMEDI.kwa wasiolifahamu hili ni kwamba futuhi ipo maalum kwaajili ya watu wa janda ya ziwa.na wanaoibeba futuhi humu ndani ni walewale!

kina rwagubiri,kina mziwanda,kina nani sijui...........

FUTUHI BADO SAAAAANA KWA SASA!kwanza wana kamera moja tu,hawana edita mzuri,wanachemka sana tu,ni wanafunzi tu wale.na kila kitu wamedesa kwa komedi original
 
Ze comedy juu juu juuuu zaidi.
hapo mwana nakusapoti 100% hao futuhi wameiga vitu vingi kutoka kwa ze commedy nimeangalia vipindi vyao kama mara tatu i don see any creativity jamaniiii kuweni wakweli, kitu gani wamecreate just tell me? zaidi waweza kusema wameongezea na vyao kidogo lakini ile program nzima haina tofauti na ze commedy infact ukitaka kujua uzaidi kati yao angalia siku hivyo vipindi vinaonywesha halafu pita mitaa ya uswahili utaona population ya watu waliosimama bar kunaglia ze comedy kisha linganisha na futuhi jibu utapata,.
 
wadau, hapa nani zaidi? kwa upande wangu nimekuwa nikiwatazama wote ila navutiwa na futuhi kwa mambo kadhaa. kwanza hawatumii lugha kali kama ze komedi, pili wanatumia wanawake katika nafasi za wanawake, tatu ni more creative, nne kuna rika tofauti, n.k. hayo ni yangu sijajua yako
nimegundua JF wa kanda ya ziwa wako wengi sana, maaana mhhhhhh
afadhali mngesema kipindi cha ZEMBWELA cha ITV, nao wako kivyaovyao na wako juu
 
Kumbukumbu zangu ni kuwa Ze Komedi ndio wameiga star tV. Kabla ya Futuhi, start tv walikuwa na kundi la vichekesho na maigizo, kila walipokuwa wanamalizia vichekesho vyao walikuwa wanatumia sana nyimbo za Mbaraka Mwinshehe kuigiza (waliweza kuvaa raizoni, magitaa feki, wanaume waliweza kuvaa magauni n.k), mara tu hawa jamaa walipopotea ndio pengo hilo likazibwa na Ze Comedy (wakati huo Channel 5).
Hivyo basi Ze Komedi waliiga na sasa si muda mrefu watafulia na maji ya matope.
 
ze comedy wajiangalie maana upuuzi wanaofanya mtaani wakijafulia sijui watakuwa wageni.
utoto na ubitoz umewazidi

wajinga ndio waliwao!!!
 
wadau, hapa nani zaidi? kwa upande wangu nimekuwa nikiwatazama wote ila navutiwa na futuhi kwa mambo kadhaa. kwanza hawatumii lugha kali kama ze komedi, pili wanatumia wanawake katika nafasi za wanawake, tatu ni more creative, nne kuna rika tofauti, n.k. hayo ni yangu sijajua yako

Mkuu mm nikiangalia FUTUHI naona wanachekesha halafu wanacheka wenyewe ila ZE KOMEDI sometimes lazima ucheke mfano jana walinichekesha eti mtu anataka kuoa ana sh 7500/= Haya mambo yapo kwenye jamii.
 
salaam.

sijawahi kuiona futuhi, hivyo siwezi kuwalinganisha ( compare) na kueleza nani ni bora; ila tu tusiwalaumu ze komedi kwa kutia drag, hiyo nayo ni sehemu ya vichekesho. Angalia kwa mfano John Travolta kwenye hair spray au Robin Williams alivyocheza kama Mrs. Doubtfire hata Wesley Snipes amewahi kutia drag. Ni kutaka kuchekesha tu.
 
Last edited:
Futuhi bana wako juu.Nawapenda sana hawa jamaa. They are very original. Hao wengine pambafu tuu. Weka ile kitu ya poll tupige kura utaona wengi wataisaport Futuhii. This is only if kama umeziangalia zote.
 
Komedy wamefulia haswa!

FUTUHI wako juu sana, vichekeksho vyao vinafurahisha lakini pia vinaibua matatizo halisi katika jamii! Mfano jana ile seen ya Mama kujifungua aliye bebwa na ambulance ya mkokoteni! Hiyo ilikuwa nzuri sana lakini ilibebea ujumbe mzito kwa utawala kwamba hali si shwari, maisha bora ni ndoto! Achilia mbali ile seen ya wamama wanao penda kujiuza ili hali wapo ndani ya ndoa kwa jili ya tamaa, kibwagizo ilikuwa ni ule mtafaruku, wa uteuzi wa mama kuwa mkuu wa Wilaya na jinsi cheo hicho kilivyo vuruga ndoa yao! Kimsingi haya mambo yapo katika jamii ndoa nyingi zimevurugwa kwa ajili ya vyeo vya namna hiyo ambavyo mama hujikuta kazi yuko kaskazini, baba akibaki kusini!

FUTUHI BABU KUBWA huwezi walinganisha na komedi wavaa sketi na blezia!

Umenena bosi manake hata mimi jana nilicheck those guys wako vey samrt. Pia ile issue ya yule disabled aliyepewa wheel chair akasema hataitumia kwa kuwa watu hawatampa tena hela ya kutosha akiombomba manake wataona yuko vizuri lakini akiwa anatambaaa kwenye vumbi then watu wengi watamsaidia. This is the kind of things ambavyo vinatokea. So these FUTUHI guys wako safi.
 
Ze commeddy wana vipaji BUT wameharibiwa na sifa. Lugha wanazotumia ni aibu, huwezi angalia ukiwa na watoto wako wadhani wote wanaoangalia ni watu wa maskani/vijiweni.

Futuhi wanajitahidi kuwa creative, kuelimisha na kufikisha ujumbe kwa kutumia lugha nuri BUT hawana vipaji, na kama wanavyo viko chini.

Kinachopaswa kufanyika ni ku-merge makundi mawili, ili futhuhi wawe na wenye vipaji na wajifunze sanaa na ili ze comedy wajifunze ustaarabu.

Nikiangalia futuhi nasinzia, nikiangalia ze comedy (Hasa na familia)nalazimika remote yangu niielekeze kwenye TV maana wakati wowote wanaharibu (Mitusi tupu!)

hujawaangalia vizuri hawa futuhi. Wanajua wanachofanya na ni wasanii haswa. Give them 2nd chance
 
nini futuhi bana!MAMBO IKO KOMEDI.kwa wasiolifahamu hili ni kwamba futuhi ipo maalum kwaajili ya watu wa janda ya ziwa.na wanaoibeba futuhi humu ndani ni walewale!

kina rwagubiri,kina mziwanda,kina nani sijui...........

FUTUHI BADO SAAAAANA KWA SASA!kwanza wana kamera moja tu,hawana edita mzuri,wanachemka sana tu,ni wanafunzi tu wale.na kila kitu wamedesa kwa komedi original

aisee babaangu mi nimetokea mo- moshi. Suala la vifaa ni la muda tu. Wako makini. Ze komed wabadilike
 
uzuri wa ze comedy kwamba wako creative zaidi anytime wanaweza kukusuprisze na kitu kipya kabisa, na hata kama una mastress yako utaishia kucheka na kuwa refreshed, na mara nyingi ukiwa unaangalia comedy hutakiwi kuwa serious sana na hata hao comedian hawatakiwi kuwa serious sana, kwa mtazamo wangu ze comedy are the realy comedians
 
Kwa mtazamo wangu naona FUTUHI wako juu ukilinganisha na hawa orijino komedi. Tatizo la Orijino komedi ni kwamba watu wengi wamewazoea na inaonekana hawana jipya. Ukiangalia uvaaji, mwanzoni ilikuwa ukimwona Joti amevaa kimini ndio ilionekana wanachekesha. Lakini hebu angalia kuchekesha kwao je kunafundisha jamii? Si ndio kwanza ukipita mitaani utakuta lidume lizima limesuka nywele au limevaa sketi, pamoja na kuwa ni wasanii je wanafundisha jamii?

Kwa upande wa FUTUHI kwa mfano kipindi kilichorushwa jana kuanzia saa tatu usiku kwenye tukio la mama mjamzito kupakiwa kwenye mkokoteni kutoka kijijini hadi mjini kujifungua, pale tayari wanatufundisha kuwa wananchi wanaotoka mbali sana na vituo vya afya (Hospitali) wanapata shida hasa kwenye suala la usafiri. Ukichukua tukio hilo na kulileta kwenye jamii si tayari wanatufundisha?

Kwa hali hiyo basi ndio maana nasema FUTUHI wako juu.
 
Ze Komedi wananiboa siku hizi, hasa yule anayejifanya muhaya mwenye pesa.
Siku hizi naweza kusahau hata muda wa kipindi, nimepoteza interest kabisa.
 
uzuri wa ze comedy kwamba wako creative zaidi anytime wanaweza kukusuprisze na kitu kipya kabisa, na hata kama una mastress yako utaishia kucheka na kuwa refreshed, na mara nyingi ukiwa unaangalia comedy hutakiwi kuwa serious sana na hata hao comedian hawatakiwi kuwa serious sana, kwa mtazamo wangu ze comedy are the realy comedians

hunishawishiiii! sishaishikiiiiiiiiii!
 
Back
Top Bottom