RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Komedy wamefulia haswa!
FUTUHI wako juu sana, vichekeksho vyao vinafurahisha lakini pia vinaibua matatizo halisi katika jamii! Mfano jana ile seen ya Mama kujifungua aliye bebwa na ambulance ya mkokoteni! Hiyo ilikuwa nzuri sana lakini ilibebea ujumbe mzito kwa utawala kwamba hali si shwari, maisha bora ni ndoto! Achilia mbali ile seen ya wamama wanao penda kujiuza ili hali wapo ndani ya ndoa kwa jili ya tamaa, kibwagizo ilikuwa ni ule mtafaruku, wa uteuzi wa mama kuwa mkuu wa Wilaya na jinsi cheo hicho kilivyo vuruga ndoa yao! Kimsingi haya mambo yapo katika jamii ndoa nyingi zimevurugwa kwa ajili ya vyeo vya namna hiyo ambavyo mama hujikuta kazi yuko kaskazini, baba akibaki kusini!
FUTUHI BABU KUBWA huwezi walinganisha na komedi wavaa sketi na blezia!
acha uongo wako hawa futuhi wnaiga tuu mambo hii mbona joti na mpoki wameionyesha longtime wewee!! semaulikuwa hujatoka kijijini kwenu usukumani kuja mjini ukaona tv, pole mwanangu. The comedy wapo juu, waniga ze comedy hamuoni tuu?au ndo ukanda ya ziwa na ukanda wa bahari umeanza?