RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
utamfananishaje mamba na mjusi kafiri?wale wasiomjua mamba watadai mjusi zaidi, ze comedy wapo juu, ni wabunifu, ebu atoe mtu ubunifu wowote wa futuhi,anything new ambacho hawajaiga from ze comedy.ndo tz bwana ukianza saloon mahali mda si mrefu utajikuta umefungiwa hata njia namna saloon zitavyoenea jirani yako, ndo walichofanya hawa wasukuma na chanel ten.basi waje na usanii tofauti,tuone kitu tofauti,si kuigaiga halafu mnadai eti wapo juu.huu mjadala ufe, ze comedy wapo juu ful stop