NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Ze Komedi wananiboa siku hizi, hasa yule anayejifanya muhaya mwenye pesa.
Siku hizi naweza kusahau hata muda wa kipindi, nimepoteza interest kabisa.
Hivi wale wa channel Ten wanaitwaje wanaonyesha kipindi chao jumamosi no naona wanakuja juu