Kinachofurahisha kavaa suti zao za kisanii.
Hivi kama huyu anaweza ubunge ni kwa nini daimondo naye asichukue fomu ya kugombea uwaziri au urais kabisa!
Mimi huyo simfagilii kwa sababu hana uwezo wa kuikabili Siasa mie naona wa Tanzania tunapoteza maana ya Ubunge ndiyo maana Tuna chagua Chagua halafu baadae tunaanza kulalamika sina
Usanii mwingine bwana. Yaani kachoka kuchezewa kwa sasa anataka kuwakilisha watu wa Singida? Ebu fikiria mtu kama Wema akuwakilishe Bungeni unategemea nini? Mtu kichwani hana kitu na shule kafeli, leo hii anataka kututungia sheria, jamani are we really serious kweli? Lazima sheria ipitishwe kwa watu (failures) kama hawa kutopewa hata nafasi ya kugombea ubunge. Fikiria aje apate ubunge then naibu waziri wa habari na utamaduni na hana elimu yeyote zaidi ya kujuwa kuongea broken english, si tutaonekana jamii ya hajabu kweli?
Mshikaji ananichekesha hapa Bar....anasema na yeye lazima agombee ubunge wa Tandale ili Wema akipita naye apate wa kucheza naye kitandani na kuandikwa magazetini kisha aje kugombea urais akishapata scandal za kutosha maana atakuwa anafahamika na watanzania.
Wasanii wa bongo muvi wakishaingia tu bungeni basi nchi imekwisha. Fikiria bunge letu lijazwe na wasanii wa bongo muvi yaani watu ambao hawana elimu wala kitu chochote kichwani zaidi ya kuwaza kwenda location na kupigana miti hovyo hovyo. Huko bungeni si watakwenda kuendeleza tu sinema zao za X badala ya kutunga sheria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.