DOGofGOD
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,344
- 479
Wasanii wa bongo muvi wakishaingia tu bungeni basi nchi imekwisha. Fikiria bunge letu lijazwe na wasanii wa bongo muvi yaani watu ambao hawana elimu wala kitu chochote kichwani zaidi ya kuwaza kwenda location na kupigana miti hovyo hovyo. Huko bungeni si watakwenda kuendeleza tu sinema zao za X badala ya kutunga sheria?
Hii Imekaa Kigreat Thinker Zaid