eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Wanatuchezea sasa
Aaandike maumivu.
Wema sepetu anacho jaribu kukifanya kisiasa kinaitwa "muscle flexing" anajaribu aone kama anaweza
Washauri wake nadhani wanapatikana sana Instagram.
Mkuu umejuaje? Instagram siku hizi ni mtandao unaongoza kuwa na vilaza.
Mi naona apewe tu.mbona viki kamata kapewa?
Wema amezidi kwa kashfa, nina picha za wema akigegedwa, je anafaa kuwa mbunge?
Wema amezidi kwa kashfa, nina picha za wema akigegedwa, je anafaa kuwa mbunge?
Wema amezidi kwa kashfa, nina picha za wema akigegedwa, je anafaa kuwa mbunge?