Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
- Thread starter
- #41
eeeeeh!
hivi viti maalum navyo vinagombewa kumbe.Nilikuwa sijui.
Wanagombania ndani ya chama!
eeeeeh!
hivi viti maalum navyo vinagombewa kumbe.Nilikuwa sijui.
tena kama huyu nanii akishinda urais basi madame hakosi uwaziri
do you think ni ndoto zake kweli hizi toka awali?Mungu amsaidie atimize ndoto zake...!!!
Nani tena huyo?.
.....
kumamae wema anamtangazia nani nia???
Mungu amsaidie atimize ndoto zake...!!!
za umalaya-akamalizie Bungen?
ISLETS kuna ttzo au ndio atakuwa mbunge wako???
unataka nn wewe ni mwl wa maadili?? wema si mtu wa kutunga sera hata siku mojaaaa
Kugombania viti maalum Singida
eeeeeh!
hivi viti maalum navyo vinagombewa kumbe.Nilikuwa sijui.
Go go Wema all the best