Wanaume wenye mapungufu haya hujisifia kwa wanawake waonekane wako juu...

she is Mr. President.
Atanyang'anywaje tena?
Nahisi kakutana na sharobaro fupi kidogo limwingize mkengeni
Just my assumption

am not done . . .

Waoh so Mr. President is she;

Wonders shall never end......

Will be done kiukwelii soon.....
 
Ila hizi conclusion za baada ya kutendwa na mtu.....! Zinafaa kujifariji lkn hazinadilishi ukweli kuwa sio za kweli.

Like nilitendwa na msukuma, nikisema wasukuma wote ni maabuser inanifariji kidogo lkn haimaanishi ni kweli. Kuna warefu wa kutosha tu matapeli, kuna wenye fedha wa kutosha tu hawafai.

Pole Mr. President about ur cousin.
 
Kuna ukweli kiasi.

kwa wanaume wafupi ni kuwa wanajitutumua ili kujihami wasidharauliwe. warefu na majayanti ni jeuri na wababe kwa sababu wanaona kuwa ni powerful. masikini sifa kemkem kuficha umasikini hata hivo wanaweza kuonekana wanyonge na wasiojiamini yaani waoga
 
Wanaume wasio na kasoro based on your argument wanapatikana Kwenye film za mapenzy tu! They are not real!


QUOTE=Mr. President;4718569]... Wanaume wenye kasoro hizi hujikweza sana kwa wanawake kwa njia mbalix2, mfano, msgs, facebook, picha mbalimbli nk...

Kasoro.....

1: Wanaume WAFUPI....
Hawa hawajiamini siku zote.... ni wengi ni wa show off kwa mademu, hasira kwao ni jadi... wanawake wengi huwachukia.... wanajisifia kwa vyote kuficha kutokujiamini kwao.... ukiwasikiliza utashangaaaa...

2: Wanaume MASKINI ILA ANAPENDA USHAROBARO...

... Hawa sina la kuwaelezea.... utafikiri Jay-Z au P-Diddy kwa nje.... Ila sasa wajue walivyo utashangaaa, ila wanawalamba mademu wa shapshap ambao hawana serious future relationship.......wanajisifia kuficha HALI YAO HALISI NGUMU....

3: Wanaume wanaojifanya WAJUAJII...
yaani hawa waangalie sana wanataka waonekane wanajua....kila kitu....tena atabishana hata na mtaalamu wa fani fulani.... YOTE KUFICHA MAPUNGUFU YAO.... YA KUTOKUJUA, labda ana kiwango kidogo cha elimu etc....

4: WANAUME WENYE FEDHA HALAFU MASKINI WA ELIMU.....

Hawa hawana tofauti na sharobaro, opposite is true....

Researched & comfirmed.....

I am done....[/QUOTE]
 
she is Mr. President.

Atanyang'anywaje tena?
Kaunga Nahisi kakutana na tapeli fupi kidogo likampiga sound
Just my observation
am not in process of done . . .

Sijakupata, meaning Eiyer ni mfupi au? Wewe kitanda tu ilibidi tuchonge 6 kwa 8. Upo hapo!
 
Last edited by a moderator:
This isn't "ArGuMeNtiiiiii...""" haaaaa

It's Researched "ANALysis"

haaaaa

Wanaume wasio na kasoro based on your argument wanapatikana Kwenye film za mapenzy tu! They are not real!


QUOTE=Mr. President;4718569]... Wanaume wenye kasoro hizi hujikweza sana kwa wanawake kwa njia mbalix2, mfano, msgs, facebook, picha mbalimbli nk...

Kasoro.....

1: Wanaume WAFUPI....
Hawa hawajiamini siku zote.... ni wengi ni wa show off kwa mademu, hasira kwao ni jadi... wanawake wengi huwachukia.... wanajisifia kwa vyote kuficha kutokujiamini kwao.... ukiwasikiliza utashangaaaa...

2: Wanaume MASKINI ILA ANAPENDA USHAROBARO...

... Hawa sina la kuwaelezea.... utafikiri Jay-Z au P-Diddy kwa nje.... Ila sasa wajue walivyo utashangaaa, ila wanawalamba mademu wa shapshap ambao hawana serious future relationship.......wanajisifia kuficha HALI YAO HALISI NGUMU....

3: Wanaume wanaojifanya WAJUAJII...
yaani hawa waangalie sana wanataka waonekane wanajua....kila kitu....tena atabishana hata na mtaalamu wa fani fulani.... YOTE KUFICHA MAPUNGUFU YAO.... YA KUTOKUJUA, labda ana kiwango kidogo cha elimu etc....

4: WANAUME WENYE FEDHA HALAFU MASKINI WA ELIMU.....

Hawa hawana tofauti na sharobaro, opposite is true....

Researched & comfirmed.....

I am done....
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom