Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Aisee........job true true.........
Kwa umbea nimekuvulia boxer dadaake na mimi...
Aisee........job true true.........
Mwenye pesa afu elimu hana...afu akutane na wife au girlfriend alomzidi elimu lazima wife/girlfriend ajuuute kumfahamu...ni wanyanyasaji sana; wanataka kukuonyesha kuwa pesa ni kila kitu.
Na wanapenda wenye elimu ili wa show off kuwa wanaweza kuwa na mwanamke yeyote as long as wana pesa.
Kwa umbea nimekuvulia boxer dadaake na mimi...
DU Leo ndio nimejua kuwa mfupi ni kasoro SAWA na kuwa hauna pesa, sawa na kuwa sharobaro maskini DU.kua uone .
Halafu nimekudelete kapsaaaaa.........hilo ulijue..........
Ntahitaji kuombwa radhi kabla sijafanya maamuzi magumu.......Mbona umefufua uzi wa longi, kuna mtu unataka asome nini?
My bad kumbe Preta ndio alikuwa anasend meseji sehemu.
Just my assumption....
I am done......
Hahahaaaa!! Wasio na pesa ni full stress, angalia hata nyuzi zao humu, full kutusi na kuchamba wanawake, full kujistukia, kukuattack na mitusi muda wowote kwao ni kawaida.
Wacha nipite maana ushasema ambayo ningeyasema.
Yaani ni taabu, mwanaume unatoa wapi muda wa kutukana watu mitandaoni? Uvivu tu, wakati wenzao wanapiga kazi huko wanazisaka, stress zao wanakuja kumalizia kwa watu wasiohusika nazo.