Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna tajiri mmoja alikuwa kahama, ni darasa la pili alikimbia shule....ameoa mwanamke msomi, mwanamke alikaa kama miaka mitano ivi,uzalendo ukamshinda, wakamwagana, demu akaenda kutfuta kazi...manake walivyo na wivu, mwanamke hata asitembelewe na wafanya kazi wenzake au asiwatembelee anasema wanajifanya kuongea mambo ya kisomi kumbe wanatongozana....biashara zake zilikuwa za kichawi nakumbuka kipindi kile nusura turushiane mangumi n amimi ananihisi namchukulia mke wake kwasababu tu amenichangamkia na nikamsalima "how have you been?"....kaazi kwelikweli.hawa hawachelewi kumwamnia mke aache kazi/biashara akae nyumbani.....
kuna tajiri mmoja alikuwa kahama, ni darasa la pili alikimbia shule....ameoa mwanamke msomi, mwanamke alikaa kama miaka mitano ivi,uzalendo ukamshinda, wakamwagana, demu akaenda kutfuta kazi...manake walivyo na wivu, mwanamke hata asitembelewe na wafanya kazi wenzake au asiwatembelee anasema wanajifanya kuongea mambo ya kisomi kumbe wanatongozana....biashara zake zilikuwa za kichawi nakumbuka kipindi kile nusura turushiane mangumi n amimi ananihisi namchukulia mke wake kwasababu tu amenichangamkia na nikamsalima "how have you been?"....kaazi kwelikweli.
heee.... pole... u can change bana... be real achana na maisha ya kuigiza...
hawa hawachelewi kumwamnia mke aache kazi/biashara akae nyumbani.....
Halafu siku zote wakitembea wanaruka design wanafikiri watarefuka!!! Ha ha ha ha. Tunachekana ati. Wadada wengi huwa wanawapotezea sana.Yeah Wanaume wafupi wana psychological problems....
wanajisifiaaa sanaaa....
duh,hyo na. 1 nshakutana nayo!
Viatu soli yake sasa... KUBWAAAAA kuongeza urefu..... hahaaaaa.....
nina miaka zaidi ya robaini ntarefuka vipi tena??
napenda usharobaro
nina pesa lakini elimu nehi che
najifanya mjuaji dunia nzima
kazi sana kubadilika
Ila kuna ukweli ''wakati wanapewa urefu..Sisi tulikuwa tunapewa maarifa''
ukwel ni kwamba wafupi ni wabishi ka mimi lkn kwa kitu ambacho na kijua na sibishani kwa kitu ambacho ckijui
mf: ubishi wangu mimi umenilete faida nyingi tu
simu,cmputr,tv,monitor,nk vikiharibka lazima kwanza mikono yangu itumike nikifail ndipo nimuone fundi
hata kama sjui na sjawahi kukiona hicho kitu lazima kifunguliwe kwanza!
Na ndo maana nilikuwa nikitoka shule tu kitaa watu wananiami nakuta majenereta,simu, na lazima vinatii amri per day 15000 af student
hapo vipi! Najivunia kuwa nilivyo!
Ndo maana nilienda Veta skuona course
nikaona fani zote za kitoto!
Ha ha ha ha tunaita raisoni!!!!! sasa omba avae suti!!! Wengi huwa hawapendi kuvaa suti maana koti linawameza!! Ni mashati ya kung'aa ili waonekane!!
Khaa kuna kamoja kapo taasisi ya serikali ya mawasiliano jina linaanza na D!!! Ni mfupi na anajidai!! Anauza sura FB na kutongongoza wasichana huko huko, yeye sijui wanampendea nini maana hata mavazi ni kaputi kabisa. Huwa kazi yake hata kwa mashuga mummy anakamata na kuhama home kabisa na kuoa na kuacha kila siku. Kuna dada alishamtoa hapa JF na kumsambaza mitandaoni maana naona walifikishana pabaya. Kuna jamaa yangu namtembelea kazini kwao na siku moja akanitambulisha du skendo zake ni hatari.Kuna jamaaa mfupiiii anajisifiaga eti SIJUI ANA NINI MADEMU WANA MPENDA SANA.... tena jinga anajitangaza kwa wanaume wenzake .... Ukimwona mtu mwenyewe..... hahaaaa kituko mlo mmoja, chumba kimoja ila kwa njeee mavazi, maneno mengi ka Jo Makini...
Hamna lolote... Ila analamba videmu...