Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
ni wewe, tena huwa unavaa suruali.
hahaha hapana sina tshirt ya njano..basi sio mimi kongosho
hahaha hapana sina tshirt ya njano..basi sio mimi kongosho
mtani sitakuuliza source................ teh teh teh ethhhhNasikia hata shetani ni mfupi (usiniulize source)
Nasikia hata shetani ni mfupi (usiniulize source)
sina haja ya kuuliza, maana najua ni 'tomato sosi'
chill sosi
ni wewe, tena huwa unavaa suruali.
haaaaa pia these days kuna kitimoto sosi....
basi ntakuwa mimi..ukiniona tena usisite kunishtua!
hii utanipa aisee
kuna jirani yangu kila siku yeye analalamika 'majini'
nataka aone 'maziwani'
nikushtue? Ukiogopa ukazimia?
Nitaku-hug kwa nyuma.
kwa mujibu wa mtoa mada.
Ninavyojua mimi ufupi,hela yote sio kasoro ni utofauti wa muonekano kati ya mtu mmoja na mwingine.Unaposema ufupi ni kasoro unatakiwa ufafanue ni kasoro kivipi!
Ninavyojua mimi ufupi,hela yote sio kasoro ni utofauti wa muonekano kati ya mtu mmoja na mwingine.Unaposema ufupi ni kasoro unatakiwa ufafanue ni kasoro kivipi!
Haaaaa..!!! i'm not done yet....