Walimu kwa anaetaka kubadilishana kituo cha kazi aje SIMIYU WILAYA YA ITIMILA mim nije Moshi,Arusha,Tanga,Morogoro,kibaha kwa mawasiliano,0713 711330,0714454904,apa nilipo huduma zote za muhimu zipo
Njoo Singida-Mkalama nije mkoa wa (Pwani)-Kibaha mji, Bagamoyo, Mkuranga, Chalinze, Kisarawe au (Dar es salaam)-ILala, Kinondoni,Temeke, ni idara ya sekondari, 0689128658
Mimi mwalimu idara ya msingi nafundisha wilaya ya rombo tarafa ya tarakea mjini,nataka kuhamia wilaya ya moshi vijijini,kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0756530665
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.