Anayetaka kuja mwanza, mimi nije wilaya za kyela au mboz au mbarali au wilaya ya mbeya vijijin au mbeya manispaa au rungwe. Idara sec. 0763 24 36 24 au 0788 98 35 97
 
Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi Idara ya Elimu msingi kutoka wilaya yoyote katika mikoa ifuatayo Tanga, Pwani, Morogoro, kilimanjaro au Manyara.
Mimi nipo wilaya ya sengerema mkoa wa Mwanza.
Kama unafahamiana na mwalim yeyote mwenyeshida kama yangu tafadhali tuwasiliane Inbox

Njoo Lushoto Tanga namb 0753324355 nije Sengerema Hans
 
Back
Top Bottom