njoo kasulu mjini nije kaskazini .IDARA YA MSINGI
KILIMANJARO
ARUSHA
MANYARA
BABATI
TANGA
MOROGORO
0753045623///0784623525
 
Anatafuta mwl wa kubadilishana naye kutoka wilaya ya Sengerema Mwanza kwenda sehemu zifutazo kibaha,Mkulanga,Bagamoyo,pamoja na Morogoro manispaa Elimu secondary
 
Njoo kasulu mjini nije kaskazini.idara ya msingi
kilimanjaro
arusha
manyara
babati
tanga
morogoro
0753045623///0784623525
 
Mwalimu yupo Mbozi anatafuta mtu wa kubadilishana aliepo Arusha/Kilimanjaro idara ya msingi. 0755192418
 
Mwalimu yuko Kilimanjaro Rombo anataka kwenda Ilala,Arusha dc,babati,kibaha au morogoro idara ya msingi. no.0783072005
 
Mimi ni MWL wa sekondari niko Manispaa ya Morogoro natafuta MWL wa kubadilishana naye mimi niende Manispaa ya Dodoma. Tafadhali ni PM tupeane mawasiliano
 
Njoo Singida-Mkalama nije Mkoa wa (Pwani)-Kibaha mji, Mkuranga, Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe au (Dar es salaam)-ILala, Temeke, Kinondoni, ni idara ya sekondari, 0689128658
 
Mwl yupo Kagera anatafuta wa kubadilishana na mwl kutoka mikoa ya
Rukwa
Mbeya
Njombe
Iringa
Morogoro
Idara msingi
0689976850
 
Back
Top Bottom