abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Munapoambiwa Watanzania kuwa ccm ni kundi la MAFIA huleta zarau na kusema ccm ndio mama na ndio Baba, Vitendo hivi vya kuwahujumu wapigania haki Freedom fighter akina Dk Steven Ulimboka na wengine huko Nyuma Mh Mwakiembe ni vitendo vya kijasusi na vyakikatili.
Tukiruhusu hali hii Tanzania iendelee basi genge la unyama huu zidi ya viongozi wazalendo itakuwa nchi hii haikaliki na tutatoka katika bad na kuingia katika warst , hujuma zote hizi zinaongozwa na usalama wa taifa na kupata baraka zote kwa vigogo wa Serekali.
Muarubaini pekeyake na dawa mujarabu wa matatizo yaloikumba Tanzania kwa miaka mingi nikuiondowa ccm chama cha majasusi 2015 na Chama cha democrasia na maendeleo Chadema kuchukuwa nchi.
Tukiruhusu hali hii Tanzania iendelee basi genge la unyama huu zidi ya viongozi wazalendo itakuwa nchi hii haikaliki na tutatoka katika bad na kuingia katika warst , hujuma zote hizi zinaongozwa na usalama wa taifa na kupata baraka zote kwa vigogo wa Serekali.
Muarubaini pekeyake na dawa mujarabu wa matatizo yaloikumba Tanzania kwa miaka mingi nikuiondowa ccm chama cha majasusi 2015 na Chama cha democrasia na maendeleo Chadema kuchukuwa nchi.