Utata watanda nchi anakotibiwa Ulimboka; Yadaiwa yupo Ujerumani na si Afrika Kusini

Munapoambiwa Watanzania kuwa ccm ni kundi la MAFIA huleta zarau na kusema ccm ndio mama na ndio Baba, Vitendo hivi vya kuwahujumu wapigania haki Freedom fighter akina Dk Steven Ulimboka na wengine huko Nyuma Mh Mwakiembe ni vitendo vya kijasusi na vyakikatili.

Tukiruhusu hali hii Tanzania iendelee basi genge la unyama huu zidi ya viongozi wazalendo itakuwa nchi hii haikaliki na tutatoka katika bad na kuingia katika warst , hujuma zote hizi zinaongozwa na usalama wa taifa na kupata baraka zote kwa vigogo wa Serekali.

Muarubaini pekeyake na dawa mujarabu wa matatizo yaloikumba Tanzania kwa miaka mingi nikuiondowa ccm chama cha majasusi 2015 na Chama cha democrasia na maendeleo Chadema kuchukuwa nchi.
 
Bbc wamekuhakkikishia vipi wao ni mdr. Mbona unashilia sana afya yake ni mbaya we ni mungu. Mwachie mungu uhai wa dr. Uli
Habari za uhakika yuko Africa kusini Kwenye coma, according to BBC this morning.

His condition is critical
 
Msimamo wangu ni ule ule, hata kama yeye atakufa leo (MUNGU epusha) au kesho au ataishi daima, bado chachu ya ukombozi na uonevu uliofanywa na serikali dhidi yake akiwakilisha mateso ya wengi tuliyowahi kuyapata, tunayoyapata na tutakayoyapata hayataishia kwake.

Ni mbegu bora na ya ukombozi, at least tutakua na mtu wa ku-refer kwa kizazi hiki na kizazi kijacho, kwamba serikali ya CCM iliyatenda haya, tumeutangazia ulimwengu na hatutaacha kuusema ukweli.

MUNGU wangu naomba amrehemu Ulimboka, wewe ndio mwenye uhai wetu na sio mwanadamau awaye yote na kama nikifa leo kwa kuuliwa basi pia wewe MUNGU ni Mapenzi yako na kwamba waweza ruhusu jambo hilo ili jambo kubwa zaidi liweze kutokea kwa faida ya wengi zaidi.
 
what does that assasination attempt help us?

We know u don care but soon he will be back, i know you will get angry to see him walking and talking.

Ask those who are meeting with doctors in Dodoma guest houses.
 
Zomba, si serikali yako sikivu imesema hakuna mgomo na madaktari wote wako kazini? sasa hao unaosema wameumizwa (kufa?) ni nini kimesababisha maumivu/vifo vyao? Maana kwa mujibu wa taarifa zote za serikali hakuna mgomo wa madaktari.

Sasa hivi ukiwa haupo kazini hauna kazi, sasa ambae hana kazi anagoma? Fikiri!
 
Mtafute Lusinde, Maji marefu na Komba wakufindishe kiingereza

Ungejuwa maana ya ku "fill" pity na si ku "feel" pity usingesema unayoyasema, naona wewe huelewi nilichokiandika. Kajifunze.
 
Zomba sukutaka kabisa kuingilia mabishano yenu, lakji katiak kufuatilia, tukiacha mambo ya kishabiki lazima unatatizo fulani katika ubongo wako siyo kawaida au unayafanya haya kwa maslai binafsi, lakini unatusaidia sana kuonesha selikali imehusimka moja kwa moja na swala hili lakishetani, Mungu lazima atajibu, pamoja na kova kung'ang'ania kuchunguza watu wasio na imani nae, kwa mtu mwenye akili timamu iliswala lina sikitihsa sana na ni aubu kubwa sana kwa serikali
 

Anayeua kwa upanga atauliwa kwa upanga....kazi ya kutoa roho ya mtu ni ya Muumba.. Watch out!
Refer kwa Saddam Hussein na wengine wanaofanana na wewe..

Mnataka kutoa roho ya Mtu anayedai haki yake tena ndani ya nchi yake!!... shame on you.. kama alikuwa anafanya kinyume na sheria kwa nini asipelekwe mahakamani badala ya kutaka kumuua.

Siku moja mtatoa hesabu za matendo ya kazi za mikono yenu mbele ya muumba. Kila mtu ataonja mauti kumbuka,,, tena hujui saa wala wakati...

Koma kabisa kushabikia mauaji.
 
Ungejuwa maana ya ku "fill" pity na si ku "feel" pity usingesema unayoyasema, naona wewe huelewi nilichokiandika. Kajifunze.
Naona unazidi kuanika ukilaza wako na kupigilia mstari kuwa akili zako ni sawa na akina Lusinde na maji marefu..that could only be correct if used it as "filled with pity, anger, fear etc.
 
anayeua kwa upanga atauliwa kwa upanga....
kazi ya kutoa roho ya mtu ni ya Muumba.. Watch out!
Refer kwa Saddam Hussein na wengine wanaofanana na wewe..
Mnataka kutoa roho ya Mtu anayedai haki yake tena ndani ya nchi yake!!... shame on you.. kama alikuwa anafanya kinyume na sheria kwa nini asipelekwe mahakamani badala ya kutaka kumuua.. Siku moja mtatoa hesabu za matendo ya kazi za mikono yenu mbele ya muumba. Kila mtu ataonja mauti kumbuka,,, tena hujui saa wala wakati...

Koma kabisa kushabikia mauaji............

Kumbuka, hayo yanaanzia kwa wanaouwa wagonjwa kwa migomo yao isiyo na maana.
 
Kuendelea Kuzungumza kuhusu ULIMBOKA ni kupoteza muda.

Ninawashauri, tujielekeze zaidi katika masuala ya maendeleo na yenye manufaa kwa taifa.

Mgomo umeisha jamani.
 
Nani kawauwa wagonjwa?wagonjwa wamekufa kwa kukosa huduma bora za matibabu ila serikali ya kikwete imemchezea rafu Dr.Ulimboka.
 
Aliyepotea ni huyo asiyejijuwa saa hizi yuko hali gani wala wapi. Na mliyepotea zaidi ni nyinyi mnaoshadidia wagonjwa wazidi kukosa matibabu na mnaodhani kuwa alikuwa akifanya jambo la maana.

Mnashindwa kufikiri kitu kidogo tu, ni nini kilimpeleka usiku klabu ya ulevi kwa kuitwa "tuyamalize"? Fikiri na uwe mkweli wa nafsi yako.

haahahah zomba ungekuwa karib ningekupa glas ya chipumu..unanipa raha sana...big salutation!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom