Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Kaize ulikuwa wapi kwani? Jamaa ndo amemwambia mwanamke hamtaki sababu ya kuwa na mwanamke mwingine
Sorry Dena nilikuwa Gest, bahati mbaya nikachelewa....bado hali inabaki ile ile kwamba kumuacha itakuwa vigumu kwa sababu bado anampenda
Ni bahati mbaya kwamba alipenda asipopendwwa na hilo lipo sana katika maisha ya kila siku
Muhimu ni kupiga moyo konde, na kuangalia maisha yajayo
By the way mwambia anione (mpe address yangu) nimsahaulishe machungu au unaonaje