Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
- Thread starter
- #121
@chauro @afrodenzi mi sio mnachobishana hapo nyie wote mko sawa ila katika mtazamo tofauti njia sio tatizo cha msingi ufike unapokwenda na kwa muda unaotakiwa.Hakuna mtaalamu kwenye mambo haya ila kila mmoja ana Strategy zake so ur al ryt
Sawa kabisa tena naongeze aliyepanda ndege, tren, baiskeli, trekta, basi, aliyetembea kwa miguu wote wamefika. Waliochoka haya, waliopata AC njiani haya mradi wote tumefika tunakokwenda!!!1