Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
- Thread starter
- #61
Chauro kuhamia kwa mtu ni MAKUBALIANO....hakuna kuhamia kwa mtu kama hajapenda yeye mwenyewe!..manake unaiweka kama ni mtu kalazimishia vile??
na mwanaume akiamua kukubwaga anakubwaga,haijalishi unaishi naye ama bado unaishi na wazazi...
Ulikuwa wapi aisee. KWELI TUPU KABISA. THANKS