Nimefurahi kusikia hivyo na mwambie ajiunge JF hatakosa wa kumpetipeti mimi nilikua na tatizo ka lake kuingia tu humu ninao sita nafanya badilisha 2 maana humu kizuri wala na nduguyo hakuna wivu humu wala hutakiwi kupenda kupitiliza unapenda kinusu nusu
We Maty wewe hapo kwenye bold taratibuuuuu!!!1
Ngoja na mimi nitatafuta mmoja aisee maana humu naona naweza kupata mmoja. Nikaktuliza roho yangu
Okay okay am :shut-mouth: my mouth...and waiting to :rip:We mkubwa bwana aaaghhh
densi amsi wewe ni rafiki mzuri. mshauri ahamie kwa rafiki wake wa kike ambae anamwamini na ambae atakuwa a shoulder for her to cry on. she needs support na after some time, she should start going out, looking good and feeling good about herself. atakutana na mtu mwema tu ambae atampooza roho yake!!! i wish her and you luck!!
Lakini si ni ukweli au uongo??
Waoooooo at least I can breath now lol...Its like a mirracle to me... ngoja niiifadhi hapa chini maana usije badili mawazo ukaenda kwenye kitufue kile cha "remove your thanks" lolUsije ukakosa usingizi bure haya nakupatia. Umefurahi?
Waoooooo at least I can breath now lol...Its like a mirracle to me... ngoja niiifadhi hapa chini maana usije badili mawazo ukaenda kwenye kitufue kile cha "remove your thanks" lol
The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:
Dena Amsi (Today)
Thats why I like you ......:violin:Usiogope mie huwa sibadili msimamo hata siku moja im a woman of principal
Wapendwa Bibie ndo kashafungasha virago kaondoka leo rasmi. Kaenda kupanga nyumba yake maeneo ya Kijitonyama na ameahidi kusahau kabisa yaliyopita na kuanza maisha mapya. Asanteni