Unaweza kumuacha umpendae?

Nimefurahi kusikia hivyo na mwambie ajiunge JF hatakosa wa kumpetipeti mimi nilikua na tatizo ka lake kuingia tu humu ninao sita nafanya badilisha 2 maana humu kizuri wala na nduguyo hakuna wivu humu wala hutakiwi kupenda kupitiliza unapenda kinusu nusu

Ananiambia anapata shida kuregister nimemuelekeza tena leo labda atajiunga.
 
wanatunyanyasa sana bana lol iliyobaki ni kujisevia tu halafu unaacha sahani mezani nini bana maisha yenyewe mafupi haya

Ngoja na mimi nitatafuta mmoja aisee maana humu naona naweza kupata mmoja. Nikaktuliza roho yangu
 
densi amsi wewe ni rafiki mzuri. mshauri ahamie kwa rafiki wake wa kike ambae anamwamini na ambae atakuwa a shoulder for her to cry on. she needs support na after some time, she should start going out, looking good and feeling good about herself. atakutana na mtu mwema tu ambae atampooza roho yake!!! i wish her and you luck!!
 
densi amsi wewe ni rafiki mzuri. mshauri ahamie kwa rafiki wake wa kike ambae anamwamini na ambae atakuwa a shoulder for her to cry on. she needs support na after some time, she should start going out, looking good and feeling good about herself. atakutana na mtu mwema tu ambae atampooza roho yake!!! i wish her and you luck!!

Thanks
 
Usije ukakosa usingizi bure haya nakupatia. Umefurahi?
Waoooooo at least I can breath now lol...Its like a mirracle to me... ngoja niiifadhi hapa chini maana usije badili mawazo ukaenda kwenye kitufue kile cha "remove your thanks" lol
The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:

Dena Amsi (Today)
 
Waoooooo at least I can breath now lol...Its like a mirracle to me... ngoja niiifadhi hapa chini maana usije badili mawazo ukaenda kwenye kitufue kile cha "remove your thanks" lol
The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:

Dena Amsi (Today)

Usiogope mie huwa sibadili msimamo hata siku moja im a woman of principal
 
hana cha kufnya jamani,kaka ameshapenda kwingine,anataka waachane,hana cha kufanya hata kama yeye bado anampenda mwanamume hana tena mapenzi kwake.amuache aondoke.
 
Wapendwa Bibie ndo kashafungasha virago kaondoka leo rasmi. Kaenda kupanga nyumba yake maeneo ya Kijitonyama na ameahidi kusahau kabisa yaliyopita na kuanza maisha mapya. Asanteni
 
Wapendwa Bibie ndo kashafungasha virago kaondoka leo rasmi. Kaenda kupanga nyumba yake maeneo ya Kijitonyama na ameahidi kusahau kabisa yaliyopita na kuanza maisha mapya. Asanteni

Bibie gani huyo? hebu nipe address yake.

Goodmorning Dena.
 
Bibie gani huyo? hebu nipe address yake.

Goodmorning Dena.

Gooemorning ASA.

Jamani we nae kwani hii mada hujui ilikoanzia si huyo alieambiwa hapendwi ahame kwa jamaa? Asprin hebu twende chemba maana naona wewe una mambo sana
 
Back
Top Bottom