Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
haya maswali nayachukia kweli.
sasa hili swali gani?
2005 nilimnyima kura. 2010 nikamnyima kura.
sasa unataka nikujibu nini?
nauliza kwa sababu hii ni pychological technic ya serikali ya mkwere kutengeneza matatizo then anakuja na solution eti aonekane shujaa
Issue ya dowans imetengenezwz imeishakuwa public problem while not
Mkwere watu wengi hawakumchagua sasa anatafutia pa kutokea
Think about TAnesco why they are creating problems mgao wa mwezi kwa nchi nzima???