The DOWANS saga: Kwanini KIKWETE yuko kimya?

Bwan wee ukweli ndiyo huo,watu wote wanafahamu na hata wapinzani walishasema hadi wakachoka.Sisi wabongo ndiyo wajinga ,ukifika uchaguzi tunairudisha tena ccm. haya mambo yatashughuliwa vizuri ccm ikiwa nje ya madaraka na siyo vinginevyo.tukiendelea kuwaweka ccm madarakani basi tunatakiwa tunyamaze kimya hata hii jamii forum inatakiwa ifungwe kuandika humu ndani na kushambuliana kusikoisha hakuwezi kutuondolea kero zetu jamani.
Kama tuna ujasiri basi tuweni wavumilivu na uchaguzi wa 2015 ukifika tuwaondoe ccm madarakani ndipo tuanze kuondoa kero zinazotukabili ,vinginevyo tutaendelea kushabikiana pasipo
na faida kwa yeyote.
 
Nafikiri tatizo la Tanesco lilikuwa la mkurugenzi mkuu (mtendaji mkuu) wa zamani...Idris Rashidi?

Vipi Tena tatizo la mkurugenzi mkuu William Mhando ligeuke kuwa JK?

Wakati alipokuwepo Idrisa lilikuwa la Idrisa? alipokuwepo William linageuka linakuwa la JK

Double standards at its highest...ndio yale yale mijadala inaishia kuwa ...ya kidini

Huyu William Mhando vipi? sisikie mkisema lolote...hodari sana mtu huyu au siyo?

Nyie bana mnaboa sana!

Wakati mwingine kaka usichangie kwa kuangalia majina. umenitia aibu. dini imeingilianaje na topic hii.?
 
Nafikiri tatizo la Tanesco lilikuwa la mkurugenzi mkuu (mtendaji mkuu) wa zamani...Idris Rashidi?

Vipi Tena tatizo la mkurugenzi mkuu William Mhando ligeuke kuwa JK?

Wakati alipokuwepo Idrisa lilikuwa la Idrisa? alipokuwepo William linageuka linakuwa la JK

Double standards at its highest...ndio yale yale mijadala inaishia kuwa ...ya kidini

Huyu William Mhando vipi? sisikie mkisema lolote...hodari sana mtu huyu au siyo?

Nyie bana mnaboa sana!

Kumbuka inaongelewa dowans, na kumbuka pia dowans ilikuwepo kipindi gani, then changie. Jamaa amejaribu not to hit around the bush. Unapotutajia akina Idrisa na akina Mhando bado unataka kuturudisha kulekule!!
 
Kumbuka inaongelewa dowans, na kumbuka pia dowans ilikuwepo kipindi gani, then changie. Jamaa amejaribu not to hit around the bush. Unapotutajia akina Idrisa na akina Mhando bado unataka kuturudisha kulekule!!

Sawa mkuu nimekuelewa lakini upi msimamo wa mkurugenzi mkuu kwa hukumu hii..kama mtendaji mkuu?
 
Huyu ni mteule wa Raisi Kikwete au sio?

Kweli lakini anaweza kutoa msimamo wake au siyo?

Maana ndio mwenye access na infomation zote za kitaalamu?

Kama nilivyo msapoti Idrisa kwa kutaka inunuliwe (kitaalamu) nilitegemea na yeye angetusaidia otherwise?

Mbona yuko kama bubu..au ameshindwa kazi?
 
Mkuu, hata hapa JF, Kikwete haguswi. Kuna mod kazi yake ni kupitia topic zote zinazomgusa Kikwete. Akiona zinamchora vibaya: basi anaziunganisha na zingine (za mwaka 2007), anazifuta, au anazihamisha kwenda jukwaa lingine. Ngoja tuone hii topic itakaa hapa kwa muda gani kabla haijahamishwa.

Nilisema kuwa mada yangu itafanyiwa zengwe na mod wa JF..... Naona yameshatokea tayari
 
Kweli lakini anaweza kutoa msimamo wake au siyo?

Maana ndio mwenye access na infomation zote za kitaalamu?

Kama nilivyo msapoti Idrisa kwa kutaka inunuliwe (kitaalamu) nilitegemea na yeye angetusaidia otherwise?

Mbona yuko kama bubu..au ameshindwa kazi?

Ndio kwa maswali yako yote.... na kisha baada ya hapo, anabanwa bosi wake --- Kikwete
 
Inasemekana pia hata hao majaji wa ICC ambao hukusanywa tu kutoka sehemu mbalimbali, wana 'cut' yao kubwa tu.

Mbona BP walipobanwa na Obama kwa uchafuzi wa mazingira hawakwenda kushtaki hiyo mahakama uchwara sijui ya ICC?
Mbona ATC ilipodhulumiwa na SA Airways hawakwenda huko ICC?
Who cares about that ****-ing ICC?
ICC ni Mkwere na genge lake.
 
Topical said:
Nafikiri tatizo la Tanesco lilikuwa la mkurugenzi mkuu (mtendaji mkuu) wa zamani...Idris Rashidi?

Vipi Tena tatizo la mkurugenzi mkuu William Mhando ligeuke kuwa JK?

Wakati alipokuwepo Idrisa lilikuwa la Idrisa? alipokuwepo William linageuka linakuwa la JK

Double standards at its highest...ndio yale yale mijadala inaishia kuwa ...ya kidini

Huyu William Mhando vipi? sisikie mkisema lolote...hodari sana mtu huyu au siyo?

Nyie bana mnaboa sana!

Topical,

..we need to know, kati ya Mhando na Dr.Rashid, ni yupi alihusika na kuvunja mkataba.

..tatizo hili limekuwa sugu na ndiyo maana JK's intervention is needed.
 
Topical,

..we need to know, kati ya Mhando na Dr.Rashid, ni yupi alihusika na kuvunja mkataba.

..tatizo hili limekuwa sugu na ndiyo maana JK's intervention is needed.

Aliyevunja mkataba ni wabunge wapiganaji waliishinikiza serikali ivunje mkataba

JK nilishasema ni Slow learner sidhani kama ata-intervene in a near future...
 
jk hawezi interven na pengine baada ya hukum alikua na swahiba rostam huko dunia ya kwanza wanagonga mvinyo kusherekea ushindi huo. Wakuu dowans/richmond inamilikiwa na utatu mtakatifu.kikwete, lowasa na rostam. Mstaraji kauli yoyote ya heri toka kwa watu hao. Alamsiki.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom