St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Yeah Madame B huo ni wa kwetu! Mzee Mwanakijiji kasema nyimbo za Tanzania, wengine wameshaanza kuweka za Kenya. Mimi wangu ni NANYATANYATA.
Umeona ee,
yani huo ni Mwisho wa Yote hasa kwa Wale wasio na Heshima kwa wazazi wa kike.
Kunyatanyata ndo ile iliyoimbwa na Kijitonyama singers?
Wapendwa mmenipa hamasa ya kuweka head phones masikioni na kuusikiliza wimbo huu,na kwa ushuhuda wimbo huu ukiuimba kama maombi kwa imani unaweza kukutatulia matatizo yako kama ilivyowahi kunitokea mimi...
Last edited by a moderator: