Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,043
12,370
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini).

Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.

Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k

Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.

Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kutiririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.

Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.

Wasabato wote mliomo humu chukueni maua💐 yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.



Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
 
  • Aseneno (nimeona)
  • Chungi amalo (simama)
  • Mungu si binaadam
  • Nyundo
  • Upendo
  • Hoziana
Hizo ni moja kati nyimbo zangu pendwa za sda.

PS. Kama huu uzi hautafutwa nitaamini mods wana double standard....jana nimeweka wimbo wa Catholic wameufuta haraka sana
 
Imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu waebrania 4:9
Uwe na sabato..

Nakushauri ingia YouTube kaisikilize nyimbo ya kirumba Adventist choir MBINGUNI HATUTAZEEKA, Usiku wako utakua murua sana na WA ajabu.
Asante sana, nitasogea YouTube kupata tulizo la wana SDA kama ulivyo nielekeza
 
  • Aseneno (nimeona)
  • Chungi amalo (simama)
  • Mungu si binaadam
  • Nyundo
  • Upendo
  • Hoziana
Hizo ni moja kati nyimbo zangu pendwa za sda.
PS. Kama huu uzi hautafutwa nitaamini mods wana double standard....jana nimeweka wimbo wa Catholic wameufuta haraka sana
Hilo tatizo la kufutwa nyuzi hata mimi jana lilinikumba niliweka zikafutwa bila hata kuchangiwa sijui shida nini ?

Hizo nyimbo za SDA kwaya gani zimeimba ? Unaweza weka majina ya kwaya kama utaweza tafadhali
 
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).

Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.

Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k

Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.

Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kuririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.

Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.

Wasabato wote mliomo humu chukueni maua💐 yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.

Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Naunga mkono hoja
 
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).

Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.

Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k

Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.

Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kuririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.

Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.

Wasabato wote mliomo humu chukueni maua💐 yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.

Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Yes they are good. Lakini umesahau kuweka kawimbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom