Mukuu123
JF-Expert Member
- May 7, 2019
- 319
- 1,221
Niko zangu home week ya tatu hii baada ya kuchukua likizo ,huwa napenda kujipumzisha home na family yangu ijapo kuwa hela ya kununua kisimbuzi imekua nongwa,sasa mara nyingi naangalia izi free channel ZBC ikiwa moja wapo jambo moja nimeliona sijawahi kuona nyimbo za gospel wala ibada hasa siku za jumapili Je kuna shida gani Zbc si channel ya umma sasa kuna sababu gani Kwa wao kuchagua upande wakati serikali haina dini