Hivi ZBC wanapiga nyimbo za Gospel

Mukuu123

JF-Expert Member
May 7, 2019
319
1,221
Niko zangu home week ya tatu hii baada ya kuchukua likizo ,huwa napenda kujipumzisha home na family yangu ijapo kuwa hela ya kununua kisimbuzi imekua nongwa,sasa mara nyingi naangalia izi free channel ZBC ikiwa moja wapo jambo moja nimeliona sijawahi kuona nyimbo za gospel wala ibada hasa siku za jumapili Je kuna shida gani Zbc si channel ya umma sasa kuna sababu gani Kwa wao kuchagua upande wakati serikali haina dini
 
Mkuu zanzibar inaendeshwa kidini yaani Muslim. Ukitaka gospel weka upendo tv, tumaini, Mwamba Mwamposa tv n.k
 
Niko zangu home week ya tatu hii baada ya kuchukua likizo ,huwa napenda kujipumzisha home na family yangu ijapo kuwa hela ya kununua kisimbuzi imekua nongwa,sasa mara nyingi naangalia izi free channel ZBC ikiwa moja wapo jambo moja nimeliona sijawahi kuona nyimbo za gospel wala ibada hasa siku za jumapili Je kuna shida gani Zbc si channel ya umma sasa kuna sababu gani Kwa wao kuchagua upande wakati serikali haina dini
Hayo makanisa tu yanavamiwa na tumeshuhudia biongozi wa makanisa wakiuawa ndiyo itakuwa nyimbo! Sahau na ujue Zanzibar ni nchi ya kiisilamu.
 
Brother a pays chaneel how can i control what to play in studio.? Thia is globalisation whre the media played anything market wide available thank you.be intelligence.
 
Niko zangu home week ya tatu hii baada ya kuchukua likizo ,huwa napenda kujipumzisha home na family yangu ijapo kuwa hela ya kununua kisimbuzi imekua nongwa,sasa mara nyingi naangalia izi free channel ZBC ikiwa moja wapo jambo moja nimeliona sijawahi kuona nyimbo za gospel wala ibada hasa siku za jumapili Je kuna shida gani Zbc si channel ya umma sasa kuna sababu gani Kwa wao kuchagua upande wakati serikali haina dini
ZBC wana mpaka kipindi cha Kanisani kila Jumapili na ibada inarushwa tena nafikiri saa nzima na wanaenda makanisa mbalimbali yaliyopo Zenji

Ila hiyo ZBC 2 sasa😂 ukiikuta hata bahati mbaya nione hapa nina zawadi yako, hapo ni zaidi ya tawi la wajukuu wa mtume ni mwendo wa 'ilmu' tu mwanzo mwisho😂
 
We ushawahi ona upendo tv wakapiga qaswida
Niko zangu home week ya tatu hii baada ya kuchukua likizo ,huwa napenda kujipumzisha home na family yangu ijapo kuwa hela ya kununua kisimbuzi imekua nongwa,sasa mara nyingi naangalia izi free channel ZBC ikiwa moja wapo jambo moja nimeliona sijawahi kuona nyimbo za gospel wala ibada hasa siku za jumapili Je kuna shida gani Zbc si channel ya umma sasa kuna sababu gani Kwa wao kuchagua upande wakati serikali haina dini
 
Back
Top Bottom