Uzinduzi wa kampeni Arumeru Mashariki umehudhuriwa na MAELFU ya watu sio MAMIA. TBC gets your acts together.
Kwa upande mwingine naona kama TBC na polisi wana njama za kichinichini za kuuwa CCM. Vyombo hivi viwili vinatumia nguvu nyingi kuwafanya wananchi wakichukie CCM. e.g kupiga watu mabomu, kuuwa, TBC kupindisha habari na wakati mwingine kutotoa habari kabisa. Yote sawa, maana ni msingi mzuri wa chuki. 2015!
Kwa upande mwingine naona kama TBC na polisi wana njama za kichinichini za kuuwa CCM. Vyombo hivi viwili vinatumia nguvu nyingi kuwafanya wananchi wakichukie CCM. e.g kupiga watu mabomu, kuuwa, TBC kupindisha habari na wakati mwingine kutotoa habari kabisa. Yote sawa, maana ni msingi mzuri wa chuki. 2015!