wapuuzi kweli hao! I hate them. Na walaaniwe TBCcm
Msimlaumu amina,taarifa ile imerushwa kwa basi 2 kwani kitaaluma hawajarusha penye hot newz,basi 2 wamerusha ili isionekane hawajarusha kabisa.shme on them
Baadaye waliomba radhi kwamba umeme wa TANNESCO uliharibu transforma yao hivo hawakuwa hewani kwa muda mrefu!!Mida ya saa 2ucku ITV ilikuwa giza ndo manda nli2ne TBC iloniboa.nlitazama coz a leave no obtion
TBC ishakuwa ya magamba so ni wakati wa sisi wanamageuzi kuidai tv yetu inayoendeshwa kwa kodi ze2 alafu ikiwanufaiisha wachache. TBC P.U.M.B.A.F.U sanaaaaaaaaaaa
Mapokezi ya Lipumba ilikuwa issue ya kitaifa!
Issue ya jimbo moja tu, Arumeru!Na ya uzinduzi wa kampeni za Chadema ilikua ya nini mkuu?
mimi nakushangaa wewe mpaka leo unaangalia taarifa ya habari tbc1
Comrade TBC uijuayo wewe alishaondoka nayo Tido Mhando unachokiona pale ni msukule wake tu
wanapangiwa habari za kurusha weredi umeshapotea pale