Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,079
kujaza nyomi sio ishu sana siku hizi kila mgombea anaweza kujaza nyomi kwa njia yake wagombea wengine wataleta wasanii kujaza nyomi Ila chadema inajazwa nyomi watu wanafuata sera pia hotuba mgombea zinaangaliwa zaidi mitandaoniNilifikiri unatuletea picha za Segerea kumbe Kariakoo!! Segerea vipi au mnaendelea kutengeneza picha baadae mtuletee kwamba kulikuwa na nyomii ya kufa mtu?