Usinitukane nakuheshimu Sana na umri mkubwa kuliko mamakoShari gani we MAKOTA? Nchi hii sio mali ya CCM pekee, acha upuuzi.
Usinitukane nakuheshimu Sana na umri mkubwa kuliko mamakoShari gani we MAKOTA? Nchi hii sio mali ya CCM pekee, acha upuuzi.
Kwahiyo ulitaka mleta mada asemejeHapo kariakoo huwa wanamlaki yeyote yue, hata wewe ukipita ba balo la mitumba watakushangilia, akienda mtu kula takataka watamshangilia, wakienda askari kupiga watu watashangiliwa mwizi akiiwapua anashangiliwa hata aliyekwapuliwa naye hushangiliwa.
Upo Kariakoo, mkuu?!! Mbona nimeshakushukuru kwamba upo Segerea unasaidia live update ya mkutano!!Umenena mkuu, mi mwenyewe Niko kariakoo mpaka mda huu na ndiko nafanyia shughuli zangu, huku yanga wamepita juzi wote tulikusanyika barabarani Happ Msimbazi road kuona mbwembwe zao
Freemasonry na ishara zake Na Ndiyo Maana tumemkataa na Mungu kamkataa! Huyu atakuwa kama Malema wa SAJamani nisaidieni,hii ishara ina maana ganiView attachment 1553323
Rudi kwenye uzu ukasome kilichoandikwa, pale nimeweka link chini kufatilia kwa yule atakaependa, ila nipo kariakoo mtaa Lindi na msimbazi.Upo Kariakoo, mkuu?!! Mbona nimeshakushukuru kwamba upo Segerea unasaidia live update ya mkutano!!
Huyu hatufai hata bure!!!! Atatumaliza huyu shoga tumkataeFreemasonry na ishara zake Na Ndiyo Maana tumemkataa na Mungu kamkataa! Huyu atakuwa kama Malema wa SA
Endelea kufakamia mbege manka!Inakuhusu nini.ongea vitu vyenye tija.
Umri mkubwa halafu una akili za kitoto? Maajabu haya.Usinitukane nakuheshimu Sana na umri mkubwa kuliko mamako
Nilifikiri unatuletea picha za Segerea kumbe Kariakoo!! Segerea vipi au mnaendelea kutengeneza picha baadae mtuletee kwamba kulikuwa na nyomii ya kufa mtu?Huu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.
View attachment 1553315
Huu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.
View attachment 1553315
NapaoHuu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.
View attachment 1553315
Hapo mnawaonyesha ila kule uwanjani mnaficha.Huu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.
View attachment 1553315
Usinitukane nakuheshimu Sana na umri mkubwa kuliko mamako
Stendi?Hivi uanjua ata Hashim Rungwe mikutano yake anafanyia maeneo Kama ya kariakoo, sokoni au stendi kwanini? Cos anajua atapata watu wengi ata wapita njia fresh tu atapata picha kuwa kajaza nyomi!
Picha ya chini kwenye mkutano wake leo hi huko SegereaView attachment 1553318
Kwa hiyo hajabadiilisha nguoMsije mkawa mnapost picha za siku ya mapokezi yake akitokea kwa mabeberu kwenye matibabu maana CHADEMA drama haziwaishii
Huu mchezo hautaki hasiraHahahaha
Vijana wa humu ndani hawana heshima
Freemasonry ndio nini?Freemasonry na ishara zake Na Ndiyo Maana tumemkataa na Mungu kamkataa! Huyu atakuwa kama Malema wa SA