BongoTz
JF-Expert Member
- Nov 3, 2006
- 272
- 3
- Thread starter
- #81
Have you ever heard of something called "Editor in Chief"...? Kama unajua maana yake/responsibilities zake, then utajua ni kwanini na defend hii article kwa nguvu zote, ingawa mwandishi wake ni Antar Sangali.I knew it .... huna data za kusapoti maelezo yako na yet unataka watu wakuchukulie serious.
Nilianza kukuona myeyushaji baada ya kuanza kujibu as if wewe ni Antari Sangari (mwandishi wa hii habari). Huwezi kutoa credit mwanzoni mwa thread na ukaanza kuchukua credit kati kati ya thread unless unataka kusema kuwa wewe ni Antari Sangari (which of course you are not).