Pupa ya kutaka kushika madaraka, itaiangusha CHADEMA tena

Yaani hata wale members wa miaka nenda rudi wa hapa ambao nilikuwa nawaheshimu kwa hoja, wameacha kutoa hoja na kutukana yanguoni. Inasikitisha kuona "wana-mageuzi" wa JF wana resort kwenye matusi. Inatia huruma. Wenyewe wanajiita great thinkers . Mtu na heshima yake anashindwa kuheshimu uhuru wa maoni na badala yake anakesha kutukana watu wanaopinga urais wa Dr Slaa....huyo ndio GREAT THINKER.
Mwenyewe nashangaa....
 
...Na kama Watamchagua Dr.Slaa kwenda Ikulu sio kwa sababu ya pupa za Chadema isipokuwa wameridhika na sera za chama tofauti na wakati ule wa Nyerere ambapo tulimpigia kura Nyerere na kusisitiza zidumu Fikra za mwalimu.
Mkuu, we may agree to disagree on that one... I mean seriously, do you really believe kwamba watanzania wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 43,000,000 wana give a damn kuhusu kile (wana JF wasiozidi 10,000) wanachofikiria humu jukwaani? Yeah, wewe na wasomi wachache hapa JF mnaweza kuwa mmelizika na sera za Chadema na mko very ethused na candidancy ya Dr. Slaa, lakini ukweli ni kwamba, sio watanzania wote wanoshare the same enthusiasm.
 
Mkuu, we may agree to disagree on that one... I mean seriously, do you really believe kwamba watanzania wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 43,000,000 wana give a damn kuhusu kile (wana JF wasiozidi 10,000) wanachofikiria humu jukwaani? Yeah, wewe na wasomi wachache hapa JF mnaweza kuwa mmelizika na sera za Chadema na mko very ethused na candidancy ya Dr. Slaa, lakini ukweli ni kwamba, sio watanzania wote wanoshare the same enthusiasm.
Mkuu wangu umefanya uchunguzi au unazungumza tu ili mradi tuanzishe ubishi.
Mimi sintawajali wao yaani Watanzania millioni 43 ambao pengine kati yao ni asilimia chini ya 50 watapiga kura..Tunachopinga hapa ni mada yako inayosema Chadema wanafanya pupa hali pia sii mawazo ya Watanzania millioni 43 bali yako mwenyewe. Nasi hoja zetu zimejikita ktk kutazama pupa za Chadema kama zinaweza athiri uwezo wa mtu kuingia IKULU.

Labda nikufahamishe tu kwamba hata wewe hapo, kama unaweza kushika Ikulu unachohitaji ni vision yako na sera ambazo umeziuza kwa wananchi haijalishi nguvu ya Chama na jinsi kilivyojijenga kwani nguvu hiyo unaihitaji tu wakati huu wa uchaguzi. Lakini kuhusisha nguvu ya chama na kutawala nchi ina maana unatudharau wananchi wote millioni 43 kwa ujumla wetu kama sisi ni wajinga mithiri ya kondoo ambao tunataka mchungaji.
 
Mkuu wangu umefanya uchunguzi au unazungumza tu ili mradi tuanzishe ubishi.
Mimi sintawajali wao yaani Watanzania millioni 43 ambao pengine kati yao ni asilimia chini ya 50 watapiga kura..Tunachopinga hapa ni mada yako inayosema Chadema wanafanya pupa hali pia sii mawazo ya Watanzania millioni 43 bali yako mwenyewe. Nasi hoja zetu zimejikita ktk kutazama pupa za Chadema kama zinaweza athiri uwezo wa mtu kuingia IKULU.

Labda nikufahamishe tu kwamba hata wewe hapo, kama unaweza kushika Ikulu unachohitaji ni vision yako na sera ambazo umeziuza kwa wananchi haijalishi nguvu ya Chama na jinsi kilivyojijenga kwani nguvu hiyo unaihitaji tu wakati huu wa uchaguzi. Lakini kuhusisha nguvu ya chama na kutawala nchi ina maana unatudharau wananchi wote millioni 43 kwa ujumla wetu kama sisi ni wajinga mithiri ya kondoo ambao tunataka mchungaji.
Mkuu, I think you are totally wrong here, but appreciate your argument. Thanks! At least wewe unajenga hoja (ingawa hoja yako kwa kiwango kikubwa iko nje ya mstari); nimefurahi kuwa hutukani kama die-hard supporters wengine wa Chadema lol.
 
Mkuu, we may agree to disagree on that one... I mean seriously, do you really believe kwamba watanzania wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 43,000,000 wana give a damn kuhusu kile (wana JF wasiozidi 10,000) wanachofikiria humu jukwaani? Yeah, wewe na wasomi wachache hapa JF mnaweza kuwa mmelizika na sera za Chadema na mko very ethused na candidancy ya Dr. Slaa, lakini ukweli ni kwamba, sio watanzania wote wanoshare the same enthusiasm.

Yeah! most of them are in Kikwete's camp and What kikwete has done for them for the past 5 years? NOTHING! I repeat NOTHING!
 
Yeah! most of them are in Kikwete's camp and What kikwete has done for them for the past 5 years? NOTHING! I repeat NOTHING!
Totally agree with you here Ujengelele. But hao watu wako kwenye camp ya Kikwete b/c the alternative [CHADEMA or TLP or CUF or NCCR-MAGEUZI] is even worse... That's all.
 
Mag3, mimi simhofii Dr.Slaa. Na hakuna kitu ningependa kama kuona chama kingine chenye nguvu, mvuto, dira na sera za kueleweka kikiiongoza nchi. I'm tired of CCM, too. But let's be realistic here: 'kuongoza dola sio jambo la mchezo.' I mean, nchi haiogozwi na mtu mmoja... Plus, kama umesoma makala yote hadi mwisho, utaona jinsi makala nzima inavyo paint positive image kuhusu this Slaa guy unayemzungumzia. So unaweza ukaendelea kung'ang'ania ushabiki wako wa kitoto for the natural term of your life, but nobody is forcing you ukubaliane na tathmini ya hapo juu.

lets assume hayo maneno yako hapo juu ni sahihi......................nina swali

1. unaposema "kuongoza dola si jambo la mchezo"..................ni kitu gani hasa ambacho CCM wanaongoza (if true kama wanaongoza) hivi sasa ambacho chama kingine kitashindwa..............?

Hakuna mtu asiyekubali kuwa CCM ni chama kikongwe na kina historia (thats a FACT).........KANU kule Kenya, ZANU kule Zambia mambo yalikuwa hivi hivi..............wengine walijiamini hata kwenda kucheza GOLF..........wengi wetu hapa tunaijua vyema historia............

Tunachotaka kukuambia kuwa CCM ni chama kilichoharibika sana na kinaendelea kuharibika siku hadi siku mifano ipo...................pia huna budi kukubali tuko kwenye mfumo wa vyama vingi................na hivi vyama vinakua kwa kujijenga pole pole kwa kuuza sera zao.............na kukubalika kwa wananchi

BongoTz....ujumbe wako ni mzuri.............isipokuwa
1. umeanza na kubagua kuwa ni chama cha Wachagga............hiyo dhmabi ni mbaya.............just that statement alone........inaondoa credibility ya makala yako...........kwani Chadema ina wanachama nchi nzima..........people were badly beaten kule Tarime......sijui nao utawaita wachagga...............imagine mtu kutoka Tarime au Kigoma ansoma ujumbe wako..nafikri ataachia kwenye hiyo statement na kuanza kuandika hayo unayoona wewe ni matusi.....wakati uliyoandika wewe kwa mtu wa Tarime ni matusi pia..............

2. umejaa woga wa kuona mabadiliko........yaani kama huamini amini vile kuwa chama kingine kikichukua madaraka hakiwezi hata kukutumia wewe BongoTz kuijenga nchi yetu...............please elewa kuwa CCM pamoja na mizizi yake sio end of the world ya UONGOZI wa taifa letu............tunao watu capable zaidi ya kina Chenge/Rostam Lowassa/Mkuchika/.................nje ya CCM wengi tu.........

kuna asili ya watu wengine wameumbwa kuongozwa.........hawana ujasiri wa kuongoza.......na kuna asili kubwa ya binadamu kutopenda mabadiliko.............ndio maana wengi baado sana hawaamini kuwa Chama cha Upinzani chaweza kuongoza nchi yetu..............

Unapenda kuona pepo lakini njia ya kwendea peponi i.e. mabadiliko unaitilia shaka...............well Mkuu.........trust me tumekuwa ndani ya gari/ndege bila ya rubani...............tunaponea majanga ya kila aina kwa kudra za Mwenyezi Mungu............
 
8D6U4371.jpg

WASTED:llama:
natafuta uhusiano wa picha zako na thread huwa sipati jibu.. sijui ni ufinyu wa mawazo au unahitaji elimu zaidi..
 
lets assume hayo maneno yako hapo juu yana hold substance......................nina swali
1. unaposema "kuongoza dola si jambo la mchezo"..................ni kitu gani hasa mabacho CCM wanaongoza (if true kama wanaongoza) hivi sasa ambacho chama kingine kitashindwa.............
Well, almost vyama vyote vya mageuzi havina sera za kueleweka (ahadi nyingi wanazozitoa hazitekelezeki). Plus, ukiachilia mbali majina ya viongozi wa ngazi za juu wa vyama hivyo, vyama vya mageuzi (Chadema kikiwemo) havina safu ya watu wenye experience ya kutosha ambao wanaweza wakaingia madarakani leo na kuanza kuendesha nchi smoothly. Mkuu, kampeni na kuongoza nchi ni vitu viwili tofauti. And so far, I'm not totally convinced that chadema has what it takes to lead our country (Hey, but that's my opinion...)

BongoTz....ujumbe wako ni mzuri.............isipokuwa
1. umeanza na kubagua kuwa ni chama cha Wachagga............hiyo dhmabi ni mbaya.............just that statement alone........inaondoa credibility ya makala yako...........kwani Chadema ina wanachama nchi nzima..........people were badly beaten kule Tarime......sijui nao utawaita wachagga...............imagine mtu kutoka Tarime au Kigoma ansoma ujumbe wako..nafikri ataachia kwenye hiyo statement na kuanza kuandika hayo unayoona wewe nimatusi.....wakati uliyoandika wewe kwa mtu wa Tarime ni matusi..............

No, sibagui kuwa ni chama cha wachagga. I'm just stating the facts. Hebu nitajie viongozi wa ngazi za juu wa chadema na uainishe wanakotoka (Marehemu Chacha Wangwe aliwahi kukaririwa aki-make the same point kipindi cha uhai wake). Na kuhusu watu wa Tarime ambao walipigwa na kujeruhiwa vibaya sana kwenye uchaguzi mdogo wa mwaka 2008, hawakukubali kupigwa na kujeruhiwa eti kwasababu tu wanakipenda Chadema. Walikubali kupingwa na kujeruhiwa kwasababu ya kutetea maslahi yao. Ni kile kitu ambacho wazungu wanakiita, "choosing lesser evil" [I believe you are aware of "Lesser of two evils principle"]. Na mtu wa Tarime atakwambia kuwa nilichokiandika hapo juu sio matusi kabisa. Tarime hawajali kabisa anayeongoza jimbo lao anatoka chama gani (CCM or CHADEMA). Wanachojali zaidi ni mtu atakayekwenda Dodoma na kutetea maslahi yao kwa nguvu zake zote (Muulize Kisyeri Chambiri atakwambia ukweli halisi). That's all. FYI-- mimi ni mzaliwa wa Tarime and I know Tarime politics very well than you do.

2. umejaa woga wa kuona mabadiliko........yaani kama huamini amin vile kuwa chama kingine kikichukua madaraka hakiwezi hata kukutumia wewe BongoTz kuijenga nchi yetu...............please elewa kuwa CCM pamoja na mizizi yake sio end of the world ya UONGOZI wa taifa letu............tunao watu capable zaidi ya kina Chenge/Rostam Lowassa/Mkuchika/...............nje ya CCM wengi tu....
I know that mkuu. And I'm not afraid of anything. I mean, "it is better to fail for the right reasons than to succeed for the wrong reasons."
 
Totally agree with you here Ujengelele. But hao watu wako kwenye camp ya Kikwete b/c the alternative [CHADEMA or TLP or CUF or NCCR-MAGEUZI] is even worse... That's all.

CHADEMA ni mkombozi wa Watanzania usipoteze kura yako kwa chama kingine chochote kile. Wakati wa mabadiliko makubwa nchini ya kisiasa umewadia.
 
FYI-- mimi ni mzaliwa wa Tarime and I know Tarime politics very well than you do............

another wrong assumption..................my friend................

hilo ulilolisema kuhusu wana Tarime nalifahamu kwa ukaribu sana...............nikikuambia nilikuwepo wakati wa zile vurugu na pia ni mwenyeji wa Tarime sijui utakataa.............anyway thats irrelevant....................the point is or the bottomline ya mabadiliko ni kuwa
................ huwezi kufanya jambo lile lile kila wakati ukategemea matokeo tofauti..............well naheshimu opinion zako..........kwani its my opinion kuwa tumekuwa tunarudia makosa yale yale na kuliacha gari letu bila dereva, tukitegemea tutafika peponi............huwezi kujua kufeli bila kujaribu...............huwezi kuongoza kama ni muoga......vipi ndugu yangu ujasiri wa nyumbani Tarime uko wapi.......hivi tulikosea sana kuchagua chama tofauti na CCM eehh.............
 
Mag3, mimi simhofii Dr.Slaa. Na hakuna kitu ningependa kama kuona chama kingine chenye nguvu, mvuto, dira na sera za kueleweka kikiiongoza nchi. I'm tired of CCM, too. But let's be realistic here: 'kuongoza dola sio jambo la mchezo.' I mean, nchi haiogozwi na mtu mmoja... Plus, kama umesoma makala yote hadi mwisho, utaona jinsi makala nzima inavyo paint positive image kuhusu this Slaa guy unayemzungumzia. So unaweza ukaendelea kung'ang'ania ushabiki wako wa kitoto for the natural term of your life, but nobody is forcing you ukubaliane na tathmini ya hapo juu.
Huo ushauri wa kuongoza dola si jambo la mchezo ungempa Kikwete 2005. Angalia alipotufikisha. Hata kama Chadema si perfect, nakuhakikishia they will do a better job in government than this clown.
 
WASTED:llama:
natafuta uhusiano wa picha zako na thread huwa sipati jibu.. sijui ni ufinyu wa mawazo au unahitaji elimu zaidi..

Uhusiano ni kuwa heri ya Chadema wenye pupa ya kwenda ikulu lakini wana maono sahihi ya kuikomboa Tz toka mikononi mwa wakoloni weusi CCM, kulikoni JK na genge lake waliofanya maanadalizi ya mika 13 kwenda ikulu bila ya kuwa agenda ya kuwaondoa watz kwenye umasikini wa kupindukia, leo hii baada ya kukaa madarakani kwa miaka 5 bado hawana cha kuwaambia watz badala yake wanaandaa matamasha na kuyaita kampeni. JK amekwisha amebakia na hobi yake ya kuangalia wasanii wakikata viuno mbele yake.
 
Bongo Tz ebu nenda na ufuatilie siasa kama nchi za Malawi ndo utaweza jua kuwa CCM wanaweza ondoka madarakani.
Tuachane na mawazo mgando its time for change.
No wonder elimu ya shule za kata watz wengi haiwasadii ndo maana ata wanashindwa kuchambua mambo objectively.
You never know unaweza kuta uyu Bongo ni mhanga
 
Hivi kwa hisia hizi ambazo hata hazina takwimu mwenzetu upo nchi gani?

Serikali ya CCM chini ya Rais Jakaya Kikwete imejitahidi kupambana na ubadhirifu wa mali ya umma, kukemea rushwa na kwa bahati nzuri kesi ziko mahakamani zikiwakabili vigogo wazito. Ingawa wengi wa hao wahusika wanataachiwa huru bila kupata adhabu wanayostahii, lakini hilo pekee ni jambo linalowaongezea wananchi mapenzi na hamu ya kuendelea kuiamini CCM, nje ya hilo ukifuatilia utekekezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM toka awamu ya tatu hadi ya nne, Tanzania imepiga hatua (ingawa sio kubwa sana kimaendeleo).

JK amesema Richmond wahariri wake ni swafi akina Lowassa na Rostam Aziz. Huko ndiko kukemea ufisadi au kujikita na ufisadi.

Dr. Hosea Bunge lilimwagiza JK amfute kazi lakini jamaa huyu bado anapeta tu. Sababu JK alikaidi maagizo ya Bunge akijua haliwezi kumwadibisha kutokana na CCM kuwa na wabunge wengi Bungeni. Safari Dr. Slaa kuleta mageuzi ya kweli.

Mbona unajidanganya tu mwenzetu labda upo nje ya nchi hii lakini kama kweli upo TZ basi tamka
safari hii hatudanganyiki
 
WASTED:llama:
natafuta uhusiano wa picha zako na thread huwa sipati jibu.. sijui ni ufinyu wa mawazo au unahitaji elimu zaidi..

Sema unashindwa kusoma lugha ya picha mimi huwa naelewa vizuri saana, na Mwafrica unanifurahisha kweli kwa pic zako mkuu!!
 
Wanaohofu mabadiliko wako katika mkondo usio halali...
Tuokoa taifa letu..
 
chadema wanataka madaraka hata kwa kupitia umwagaji wa damu wa wananchi!!! Nani atakubali amwage damu yake!! Viongozi wa chadema uongozi haupatikani kwa kutumia nguvu bali hoja!!!

Huyu Kidogoo point zake zimekaa kitoto kitoto kama jina lake vile!!! Inaelekea ni mtoto wa mama sana huyu tena mama Fisadi!!!
 
Uhusiano ni kuwa heri ya Chadema wenye pupa ya kwenda ikulu lakini wana maono sahihi ya kuikomboa Tz toka mikononi mwa wakoloni weusi CCM, kulikoni JK na genge lake waliofanya maanadalizi ya mika 13 kwenda ikulu bila ya kuwa agenda ya kuwaondoa watz kwenye umasikini wa kupindukia, leo hii baada ya kukaa madarakani kwa miaka 5 bado hawana cha kuwaambia watz badala yake wanaandaa matamasha na kuyaita kampeni. JK amekwisha amebakia na hobi yake ya kuangalia wasanii wakikata viuno mbele yake.

Hao akina Njiwa hata uwapigie debe vipi hawatasikia. Wao walishasikia wanayotaka kusikia, ni kama akina Kadogoo, Kiranga, MS, Kib..Kinachotakiwa sasa ni kuona matokea ya walichokipanda CCM!!!
 
chadema wanataka madaraka hata kwa kupitia umwagaji wa damu wa wananchi!!! Nani atakubali amwage damu yake!! Viongozi wa chadema uongozi haupatikani kwa kutumia nguvu bali hoja!!!
Hivi ndugu yangu, nani ana jeshi, polisi, green guard, sungusungu nk, ni CHADEMA au CCM? Wanaotaka kumwaga damu ni hao walioanza kutishia kwa maguvu ya kijeshi, WANATAFUTA KISINGIZIO AU MAHALI PA KUANZIA UMWAGAJI DAMU.
CHADEMA inanadi sera kwa kutumia hoja makini na kamwe si kama CCM wanaotoa ahadi za kibajeti na zingine zisizotekelezeka. Poza moyo, acha panic kabla ya uchaguzi, jiandae kukubali matokeo kiungwana.
 
Back
Top Bottom