SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,771
Kama ufisadi ni kuiba wake za watu basi hata kuiba waume za watu ni ufisadi, na huyu ASM naye ni fisadi kwani alikuwa na affair na muungwana na wakati huo tayari muungwana ana mke wa ndoa.Na mpaka sasa huyu mama ni msela ina maana anaendelea kufisadi waume wa wenzake.