William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
William;
Naomba nijibu maswali haya 3 tafadhali;
Mosi;wenye uchaguzi wa spika ndani ya CCM kwani Mzee Sitta alipigiwa kura?alipata kura ngapi?
Pili,kama jibu hakupigiwa kura iweje basi useme alishindwa kwenye kugombea kiti hicho?
Tatu,je Mze Sitta alishindwa au HAKUTEULIWA na kamati kuu ya CCM?
- Mkuu hata huko zilipigwa kura waulize waliohusika utaambiwa.
William.