Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Tatizo si ANNA Makinda , tatizo hapa ni Elimu yake... kama tungekuwa na CV yake hapa tungeweza kuchambua na kupata maana... Me nafikiri ni Elimu yake, hajasoma sheria , wala hana weledi wa sheria... vipi azijue sheria in details????
Me nafikiri kwenye kuchagua maspika, kungekuwa na kigezo lazima anaegombea awe amesoma sheria na yupo deep
Me nafikiri kwenye kuchagua maspika, kungekuwa na kigezo lazima anaegombea awe amesoma sheria na yupo deep