Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Sijaipata, huyu mama kasemaje tena? I hate her, inabidi 2015 tukaweke kambi jimboni kwake mpaka ang'oke
Ameshatangaza kuwa 2015 hatagombea ubunge.
Sijaipata, huyu mama kasemaje tena? I hate her, inabidi 2015 tukaweke kambi jimboni kwake mpaka ang'oke
Jamani nisaidieni, Malecela anaongea kama mtoto unayejifunza kuongea. Unaandika vitu visivyo na substance kabisa, yaani nakosa neno la kusema. Kama ni kiwandani ningesema ni makapi.
- Really? Umepoteza muda wako kusoma na kujibu makapi? Are you serious? ha! ha! ha! ha!
William.
Huyu Anna Makinda mwenyewe hana mume, tujiulize kiu anakatia wapi kama si kwa waume za watu?? Namfaham mtoto wake mmoja wa kike tulikuwa naye hapa Ndzengelendete baadaye akaenda UK kusoma, alizaa na mume wa mtu. Kwa tafsiri yake inaonyesha naye ni fisadi. Kwanza ktk maadili ya kiafrika kumpa uspika mwanamke asiye na mume NHUNGAYEMBE ni kosa kubwa.Kamusi gani hiyo inayotoa maana ya neno fisadi kuwa ni wezi wa wake za watu (ingawa dhana nzima naikataa)? Na wezi wa waume za watu nao wanaitwaje sasa?
Malecela huu wakati ni kukaza buti, kama unataka kuwa kiongozi wa siasa Tanzania, you need to grow up in your contributions. Haitoshi tu kutaka popularity bila substance yoyote. Muda mfupi ninataposti kuelezea namna neno fisadi linavyotumika halafu ndiyo utaua ninachokueleza ndicho. Siyo vibaya kutaka kujulikana ili uje uingie kwenye siasa lakini hili jukwaa linahitaji mawazo magumu siyo laini kama makapi unayoleta.
- Yaani bado unazidi kujibu makapi mkuu ha! ha! ha! halafu unasema mawazo yangu yakikubalika na wewe tu kua sio makapi basi nitakuwa nime-grow up na kufaa kuingia kwenye siasa unazidi kunivunja mbavu mkuu ha! ha! ha! ha! ha! vipi wewe ni kiranja hapa nini? ha! ha! ha! maana unaongea na authority sana! ha! ha! ha!
William.
- Mh. Sitta, amejaribu kugombea tena kiti chake ameshindwa ndio Demokrasia inavyosema, kushindwa ni kushinda tu sio anything-else, mawazo ya namna hii ndio yanasbabisha wanaoshindwa kuleta matatizo badala ya kukubali na kuruhusu Demokrasia ichukue mkondo wake!
William.
- Yaani bado unazidi kujibu makapi mkuu ha! ha! ha! halafu unasema mawazo yangu yakikubalika na wewe tu kua sio makapi basi nitakuwa nime-grow up na kufaa kuingia kwenye siasa unazidi kunivunja mbavu mkuu ha! ha! ha! ha! ha! vipi wewe ni kiranja hapa nini? ha! ha! ha! maana unaongea na authority sana! ha! ha! ha!
William.
Sikutegemea huyu mama kusema maneno haya kwa wakati huu, hasa akiwa amechaguliwa kama speaker wa bunge. Hili linanipa shaka katika ufanisi wake wa kazi, kwani ameanza vibaya kwa kutumia siasa za maji taka.
Wote tunajua kuwa suala la kuongelea kuhusu 'wizi wa mke wa mtu' ni nini na linamlenga nani. Hizi ni siasa za maki taka. Ni maji taka hayohayo ambayo yalitumiwa na viongozi wa ccm dhidi ya Dr. Slaa wakati wa kampeni za uchaguzi. Kwa hili tunaweza kusema kweli kama atafanya kazi yake vizuri? La hasha! Leo hii hakuna haja ya kutafuta maana ya neno 'fisadi'. Kila mtu anajua hata mtoto wa darasa la 3 anajua.
Kwa kutamka hivyo hadharani, ameuhakikishia umma wa Kitanzania kuwa amewekwa pale kuetetea hoja za mafisadi, hakuna mjadala zaidi. Kama yeye alikuwa halijui hilo, basi imeliwa kwake! Sikuwa na imani na utendaji wa ccm tangu mwanzo, lakini hii imeniongezea kutokuwa na imani na Anna Makinda kama Speaker anayefaa.
Maneno haya yanatoka kinywani au kwenye ****? slaa slaa slaa what a hell? Shut up watu wana discuss issues si ujinga wako banasawa kabisa willium.
watu wamelewa na uchadema humu JF. kila kitu slaa, slaa!!! hivi hawa hata tukiweka ng'ombe atuongoze kwa dakika tano, hata huyo ng'ombe aking'olewa madarakani wataendelea kuimba ng'ombeee, ng'ombeee sijui mpaka lini? katika kiswahili fasaha, neno fisadi ni kama alivyofafanua mama makinda na si vinginevyo! hicho ni kiswahili na sio makinda, sasa hoja za kumshambulia mama wa watu zinatoka wapi na yeye ametumia kiswahili kama watu wengine? alaumiwe aliyeiba mke wa mtu kama yupo na si aliyefafanua maana ya neno fisadi kuwa lina maana ya mtu anayeiba mke wa mwenzie. ebo!!
Malecela,
Una miaka mingapi?
Sahihisho;
Mzee Samwel Sitta hakuwahi kugombea U spika wa Bunge mwaka huu na kushindwa;kinachofanyika ndani ya CCM ni Kamati Kuu kuteua majina 3 na baadae ndiyo hayo yanapigiwa kura,na ktk majina hayo 3 yaliyoteuliwa jina la Mzee Sitta halikuwemo!Nasisitiza tena Sitta hajawahi kushindwa kwenye nafasi ya kiti cha U spika mwaka 2010 maana HAKUPIGIWA kura yeyote;na utahesabika vipi umeshindwa kama HUJAPIGIWA KURA?Walioshindwa ni Mama Kamba,Mama Msekwa na baadae Mabere Marando!
Kweli siasa za TZ ni ngumu mno!
Mi watu wanaokuja ID kamili huku kama malecela siamini kama ni wapambanaji wa kweli sana sana ni wataka umaarufu ili watakapomaliza umri wao wa kula raha nje ya nchi warudi tz kuchukua nafasi za siasa.
Huku hakuna mwenye ID ya kweli ambaye atadhubutu kuleta siri za serikali hadharani. ...wote watakua wanatafuta umaarufu kutetea hoja na maovu ya serikali tu.
MI NAKUSHAURI BWANA MALECELA NENDA KAJIUNGE FACEBOOK kule ndo watu wanauza sura na ID za kweli.
- Mkuu heshima sana mimi nilifikiri hapa ni uwanja wa Great Thinkers wanaotoa mawazo yao juu ya siasa za taifa lao, kumbe ni mahali pa members kuleta siri za serikali? Is that so?
William
- Mkuu heshima yako Sitta, alichukua fomu ya U-Spika mwak 2010 kupitia chama chake CCM, CCM hawakumchagua kumpa hiyo nafasi.
William.