Duh! Kutaja mishahara ya watu tena?
kwani kujua mshahara wa mtu kuna ubaya?[/QUOTE
hizo scale za Mwaka gani tena
hiyo mishahara ya Mwaka gani hyo?kwani kujua mshahara wa mtu kuna ubaya?
TGTS ni mishahara ya WalimuSector ipi mkuu
Ni graduate gan analipwa hyo pesa?? m n graduate mbon silipwi hizo pesa??? acheni kupotosha umma,hata certificate hawalipwi hizo pesa!!!!khaaaaaaaaa laki mbili!!!!???????duh hivi wanaishije...! TGS D ni graduate huyo! Tunatarajia pia alipe deni lake la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu!
We kizibo kweli.....unachangia post ya mwaka 2010 kwa mazingira ya 2016!!Ni graduate gan analipwa hyo pesa?? m n graduate mbon silipwi hizo pesa??? acheni kupotosha umma,hata certificate hawalipwi hizo pesa!!!!khaaaaaaaaa laki mbili!!!!???????
ase kweli uyu kizibo! ha ha haWe kizibo kweli.....unachangia post ya mwaka 2010 kwa mazingira ya 2016!!
HUNA LOLOTE ULITAKA TUJUE NA WEWE USOMA "ADA"Mshirazi........naomba nikupe ushauri kuhusu ajira za serikali na sitaki kuzungumzia kipato ila performance yako katika kazi.
Nina rafiki yangu tumemaliza pamoja ADA anafanya kazi serikalini siku mmoja tulikutana na kuzungumza masuala ya kazi nilishangaa sana!
Utaratibu mzima wa nidhamu pamoja na kazi zenyewe si sehemu ya kwenda unless ujitolee sana kufanya kazi la sivyo utakuwa hujifunzi chochote na utakuwa huna challenge mpya we ni kwenda na kurudi siku imepotea.
Jambo zuri ambalo lipo chance ya kuendelea kusoma ni kubwa so fanya maamuzi kutokana na malengo uliyojiwekea.
Mshahara ni mdogo ila marupurupu yakikukalia sawa utaipenda kazi.
Kuhusu scale za mshahara sina idea wenye nazo watupe mwanga please!!
Boss na je PGSS 6 ni kiasi gani maana kuna sehemu nimeomba na mshahara wao ndo wamenitajia huo. msaada mzeePGSS3 ni 588000 kwa sasa
subiri mwezi wa saba weye mbona una haraka pia kumbuka kuna tetesi zileeeeeee!!!!!Jamani vp kuhusu mishahara mipya?