Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
binafsi sijakuelewa mkuu naomba ufafanuzi....wapi hiyoKuna sehemu imeandikwa mshahara ni kwa mujibu wa "Tresuary Registrar Salary Circular No.. 6 of 2015" sijui ni kiasi gani wakuu, msaada tafadhali
nchi gan??????????????Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE: