Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Hivi kwanini wabongo hatujengi jiko na dining pamoja? naona hii inapunguza nafasi kubwa sana kwenye nyumba.
Mkuu hii wanaweza wazungu sana kufanya hivyo vyakula vyao vingi havi involbe mapishi ya uchafu...ukiwe dining na jiko dada wa kazi akisahau kutupa taka nje Dinning yote halufu mpaka sebuleni...ila ni nzuri sana...kama mnao ishi wa wachache na wasafi.