Mihayo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2010
- 268
- 63
Mkuu nyumba haijengwi hivyo mara nyingi. Wewe anza na hicho kidogo ulichonacho hatimaye utashangaa unamiliki nyumba yenye thamani ya 100m na wewe hujawahi kuishika au ota ndoto za kuishika. Ukianza speculation hizo nakuhakikishia hutokaa ujenge, mwisho utajutia uzee wako kuwa huwezi miliki hata kibanda.